Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,009
- 2,197
Wakuu salaam
Telegram binafsi naikubali sana hasa kwa upande wa movie matumizi yangu kwenye telegram, 85% kudownload movie , 10% Music na 5% kuchati (Sina wadau wengi wanaotumia telegram)
To the point
Kuna kitu bado sijaelewa kama telegram wanawalipa Hawa users wake hasa wanao miliki channel za movie ,unakutana channel inamuvi yeyote utakayo itafuta ya kila size (1080p,720p & 480p)
,Sasa nikawaza huyu mtu anapa faida kweli! maana anatumia bando ku upload muvi yeye je anapata faida gani?
Nauliza hivi nataka kujua Ili kama ni fursa tuichangamkie nayo ,maana nimeona Hadi channel za wabongo zipo zenye muvi kila aina na zenye mb nyingi japokuwa na huu mgao wa bando
karibu
Telegram binafsi naikubali sana hasa kwa upande wa movie matumizi yangu kwenye telegram, 85% kudownload movie , 10% Music na 5% kuchati (Sina wadau wengi wanaotumia telegram)
To the point
Kuna kitu bado sijaelewa kama telegram wanawalipa Hawa users wake hasa wanao miliki channel za movie ,unakutana channel inamuvi yeyote utakayo itafuta ya kila size (1080p,720p & 480p)
,Sasa nikawaza huyu mtu anapa faida kweli! maana anatumia bando ku upload muvi yeye je anapata faida gani?
Nauliza hivi nataka kujua Ili kama ni fursa tuichangamkie nayo ,maana nimeona Hadi channel za wabongo zipo zenye muvi kila aina na zenye mb nyingi japokuwa na huu mgao wa bando
karibu