Naren
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 692
- 425
_Jioni hii nimekuwa nikitafakari juu ya mambo ambayo yahitaji wepesi wa wananchi kuyakabili na kuyaondosha, swala moja linaloniacha na alama ya kuuliza ni wepesi wa nchi yetu kwenye kuyakabili magonjwa hasa yale ya milipuko maana hakuna mwenye kuijua kesho!
Hivi ni kweli tuna wepesi katika kuyakabili haya na si tu wepesi bala hata dhana zakutumia ili kukabiliana na dharura za namna hii?
Hivi ni kweli tuna wepesi katika kuyakabili haya na si tu wepesi bala hata dhana zakutumia ili kukabiliana na dharura za namna hii?