Je Tanzania ni Kisiwa cha amani?

Je Tanzania ni Kisiwa cha amani?

philosophy

Senior Member
Joined
Nov 11, 2012
Posts
104
Reaction score
42
zimekuwepo kauli za mazoea kwa nchi ya watu wenye kuwaza zaidi ya kufikiria na kuridhika kuwa wamefikia hatua ya juu ya kufikiria sawasawa. nchi hii ni TANZANIA. utawasikia viongozi pamoja na raia mbalimbali wakinena tena kwa hisia zilizozidi kipimo ati:
" Tanzania ni kisiwa cha amani, tujivunie kuwa nchi ya amani duniani. nci yetu inasifika kuwa ya amani au kisiwa cha amani duniani" Lakini katika uchunguzi mdogo niliofanya, nimegundua Tanzania si nchi ya amani kama wanavyoitangaza hasa viongozi.

Si maanishi kuwa si nchi ya amani, bali nasema hiyo amani inayotangazwa sio halisi kama ilivyo......kama ni amani tanzania ina amani ama ndogo au ya kawaida sana. Majarida mawili niliyoyapitia yamethibitisha hilo kama ifuatavyo:


(a) JARIDA LA "FORBES" The world most peaceful countries.
1. iceland
2.denmark
3.new zealend
4.australia
5.switzealand
6.japan
7.finland
8.canada
9.sweden
10. belgium

(b) JARIDA LA "AMERIKANKI" The 20 most peaceful countries in the world:

1.denmark
2.norway
3.singapole
4. slovenia
5.sweden
6.iceland
7.belgium
8.czech republic
9.switzerland
10.japan
11.ireland
12. finland
13. new zealand
14.canada
15.austria
16.bhutan
17.australia
18.portugal
19.qatar
20.mouritus.

Lakini kwa mujibu wa uchunguzi ulifanywa na " the 2011 Global Peace Initiative "Botswana, Mali na Ghana ndizo nchi zenye amani sana barani afrika kuliko nchi nyingine.
kwa ushahidi huu hakika tanzania ni nchi ya amani ya kawaida dunia na wala sio kisiwa cha amani kama wanavyodai waliozoea kuwaza badala ya kufikiri. kwa hiyo tanzania sio kisiwa cha amani kama wanavyodai viongozi.


Lakini kwanini tunasema nchi hii ni ya amani? je amani ni kutokuwa na vita tu? je vita ni nini? ni kweli tanzania haina vita? je amani ni ipi kama watu wanaandamana wanapigwa, wanakamatwa na kufungwa, kutekwa na kuuawa? amani iko wapi kama viongozi wanatoa kauli za kutishia nyau endapo wanabainika na tuhuma? amani gani kwa watu kukosa hata milo miwili kwa siku? amani ni ipi kama kuna utitili wa wasio na ajira?


SWALI NAWAACHIA WADAU: Je, tanzania ni kisiwa cha amani kweli?
 
TZ hakuna amani ya kweli ila kuna amani ya UWOGA na ambayo ipo siku itaisha!
 
zimekuwepo kauli za mazoea kwa nchi ya watu wenye kuwaza zaidi ya kufikiria na kuridhika kuwa wamefikia hatua ya juu ya kufikiria sawasawa. nchi hii ni TANZANIA. utawasikia viongozi pamoja na raia mbalimbali wakinena tena kwa hisia zilizozidi kipimo ati:
" Tanzania ni kisiwa cha amani, tujivunie kuwa nchi ya amani duniani. nci yetu inasifika kuwa ya amani au kisiwa cha amani duniani" Lakini katika uchunguzi mdogo niliofanya, nimegundua Tanzania si nchi ya amani kama wanavyoitangaza hasa viongozi. Si maanishi kuwa si nchi ya amani, bali nasema hiyo amani inayotangazwa sio halisi kama ilivyo......kama ni amani tanzania ina amani ama ndogo au ya kawaida sana. Majarida mawili niliyoyapitia yamethibitisha hilo kama ifuatavyo:


(a) JARIDA LA "FORBES" The world most peaceful countries.
1. iceland 2.denmark 3.new zealend 4.australia 5.switzealand 6.japan 7.finland 8.canada 9.sweden 10. belgium


(b) JARIDA LA "AMERIKANKI" The 20 most peaceful countries in the world:


1.denmark 2.norway 3.singapole 4. slovenia 5.sweden 6.iceland 7.belgium 8.czech republic 9.switzerland 10.japan 11.ireland 12. finland 13. new zealand 14.canada 15.austria 16.bhutan 17.australia 18.portugal 19.qatar 20.mouritus.
lakini kwa mujibu wa uchunguzi ulifanywa na " the 2011 Global Peace Initiative "Botswana, Mali na Ghana ndizo nchi zenye amani sana barani afrika kuliko nchi nyingine.
kwa ushahidi huu hakika tanzania ni nchi ya amani ya kawaida dunia na wala sio kisiwa cha amani kama wanavyodai waliozoea kuwaza badala ya kufikiri. kwa hiyo tanzania sio kisiwa cha amani kama wanavyodai viongozi.


Lakini kwanini tunasema nchi hii ni ya amani? je amani ni kutokuwa na vita tu? je vita ni nini? ni kweli tanzania haina vita? je amani ni ipi kama watu wanaandamana wanapigwa, wanakamatwa na kufungwa, kutekwa na kuuawa? amani iko wapi kama viongozi wanatoa kauli za kutishia nyau endapo wanabainika na tuhuma? amani gani kwa watu kukosa hata milo miwili kwa siku? amani ni ipi kama kuna utitili wa wasio na ajira?


SWALI NAWAACHIA WADAU: Je, tanzania ni kisiwa cha amani kweli?
tanzania ni nchi ya yenye watu wasiojua kujitetea,watu ambao wanakubaliana na kila kila kitu kinachosemwa na viongozi wao hata kama hakina maslahi na wao
 
Tanzania sio nchi yenye amani, hapa kuna "absence of fighting" huwezi kuita nchi yenye amani wakati hakuna haki, watu haki zao mpaka wahonge, ufisadi mkubwa sana, hivyo ndio vigezo vinavyofanya hao jamaa kutoiweka nchi yetu kuwa ni moja ya nchi zenye amani
 
zimekuwepo kauli za mazoea kwa nchi ya watu wenye kuwaza zaidi ya kufikiria na kuridhika kuwa wamefikia hatua ya juu ya kufikiria sawasawa. nchi hii ni TANZANIA. utawasikia viongozi pamoja na raia mbalimbali wakinena tena kwa hisia zilizozidi kipimo ati:
" Tanzania ni kisiwa cha amani, tujivunie kuwa nchi ya amani duniani. nci yetu inasifika kuwa ya amani au kisiwa cha amani duniani" Lakini katika uchunguzi mdogo niliofanya, nimegundua Tanzania si nchi ya amani kama wanavyoitangaza hasa viongozi.

Si maanishi kuwa si nchi ya amani, bali nasema hiyo amani inayotangazwa sio halisi kama ilivyo......kama ni amani tanzania ina amani ama ndogo au ya kawaida sana. Majarida mawili niliyoyapitia yamethibitisha hilo kama ifuatavyo:


(a) JARIDA LA "FORBES" The world most peaceful countries.
1. iceland
2.denmark
3.new zealend
4.australia
5.switzealand
6.japan
7.finland
8.canada
9.sweden
10. belgium

(b) JARIDA LA "AMERIKANKI" The 20 most peaceful countries in the world:

1.denmark
2.norway
3.singapole
4. slovenia
5.sweden
6.iceland
7.belgium
8.czech republic
9.switzerland
10.japan
11.ireland
12. finland
13. new zealand
14.canada
15.austria
16.bhutan
17.australia
18.portugal
19.qatar
20.mouritus.

Lakini kwa mujibu wa uchunguzi ulifanywa na " the 2011 Global Peace Initiative "Botswana, Mali na Ghana ndizo nchi zenye amani sana barani afrika kuliko nchi nyingine.
kwa ushahidi huu hakika tanzania ni nchi ya amani ya kawaida dunia na wala sio kisiwa cha amani kama wanavyodai waliozoea kuwaza badala ya kufikiri. kwa hiyo tanzania sio kisiwa cha amani kama wanavyodai viongozi.


Lakini kwanini tunasema nchi hii ni ya amani? je amani ni kutokuwa na vita tu? je vita ni nini? ni kweli tanzania haina vita? je amani ni ipi kama watu wanaandamana wanapigwa, wanakamatwa na kufungwa, kutekwa na kuuawa? amani iko wapi kama viongozi wanatoa kauli za kutishia nyau endapo wanabainika na tuhuma? amani gani kwa watu kukosa hata milo miwili kwa siku? amani ni ipi kama kuna utitili wa wasio na ajira?


SWALI NAWAACHIA WADAU: Je, tanzania ni kisiwa cha amani kweli?
Wewe hamnazo kweli. Hata mali unaamini ni salama kuliko tz. Wewe ukiambiwa neno hutafakari unameza tu.
 
Wewe hamnazo kweli. Hata mali unaamini ni salama kuliko tz. Wewe ukiambiwa neno hutafakari unameza tu.

Kwa nini hampendi kuambiwa ukweli? Tanzania mnapenda sifa sana ndio maana mnapoelezwa tofouti na mnavyotaka mnakasirika.
 
zimekuwepo kauli za mazoea kwa nchi ya watu wenye kuwaza zaidi ya kufikiria na kuridhika kuwa wamefikia hatua ya juu ya kufikiria sawasawa. nchi hii ni TANZANIA. utawasikia viongozi pamoja na raia mbalimbali wakinena tena kwa hisia zilizozidi kipimo ati:
" Tanzania ni kisiwa cha amani, tujivunie kuwa nchi ya amani duniani. nci yetu inasifika kuwa ya amani au kisiwa cha amani duniani" Lakini katika uchunguzi mdogo niliofanya, nimegundua Tanzania si nchi ya amani kama wanavyoitangaza hasa viongozi.

Si maanishi kuwa si nchi ya amani, bali nasema hiyo amani inayotangazwa sio halisi kama ilivyo......kama ni amani tanzania ina amani ama ndogo au ya kawaida sana. Majarida mawili niliyoyapitia yamethibitisha hilo kama ifuatavyo:


(a) JARIDA LA "FORBES" The world most peaceful countries.
1. iceland
2.denmark
3.new zealend
4.australia
5.switzealand
6.japan
7.finland
8.canada
9.sweden
10. belgium

(b) JARIDA LA "AMERIKANKI" The 20 most peaceful countries in the world:

1.denmark
2.norway
3.singapole
4. slovenia
5.sweden
6.iceland
7.belgium
8.czech republic
9.switzerland
10.japan
11.ireland
12. finland
13. new zealand
14.canada
15.austria
16.bhutan
17.australia
18.portugal
19.qatar
20.mouritus.

Lakini kwa mujibu wa uchunguzi ulifanywa na " the 2011 Global Peace Initiative "Botswana, Mali na Ghana ndizo nchi zenye amani sana barani afrika kuliko nchi nyingine.
kwa ushahidi huu hakika tanzania ni nchi ya amani ya kawaida dunia na wala sio kisiwa cha amani kama wanavyodai waliozoea kuwaza badala ya kufikiri. kwa hiyo tanzania sio kisiwa cha amani kama wanavyodai viongozi.


Lakini kwanini tunasema nchi hii ni ya amani? je amani ni kutokuwa na vita tu? je vita ni nini? ni kweli tanzania haina vita? je amani ni ipi kama watu wanaandamana wanapigwa, wanakamatwa na kufungwa, kutekwa na kuuawa? amani iko wapi kama viongozi wanatoa kauli za kutishia nyau endapo wanabainika na tuhuma? amani gani kwa watu kukosa hata milo miwili kwa siku? amani ni ipi kama kuna utitili wa wasio na ajira?


SWALI NAWAACHIA WADAU: Je, tanzania ni kisiwa cha amani kweli?
Kiuhalisia Tanzania haiwezi kuwa ranked hata among 50 peaceful countries in the World.

Kinachotokea viongozi wetu, hasa kutoka chama tawala kujinadi kuwa TZ ni kisiwa cha amani ni mkakati tu wa kipropaganda wa chama tawala cha CCM, kutumia ignorance ya wananchi, kwa kuwatisha kuwa wakithubutu tu kuchagua upinzani, amani itatoweka.

Lakini wananchi tunapaswa kujiuliza ni kuwa inakuwaje kwenye nchi ambayo inajinadi kuwa kisiwa cha amani, inatokea mwandishi wa habari Daudi Mwangosi, anauawa kikatili. Inatokea pia mwandishi mwingine Kibanda, ananyofolewa jicho. Inatokea pia Mwana Tume ya kuratibu maoni Dr Mvungi anauawa kikatili. Inatokea pia Dr Ulimboka anatekwa na kuteswa sana, hadi kutolewa kucha bila ganzi. Na matokeo yote hayo vyombo vyetu vya dola, havijaweza kumpandisha mtuhumiwa yeyote halisi wa matukio hayo?!

Ni dhahiri basi ikiwa hata afande Kova, baada ya kifo cha yule Sista pale Riverside majuzi na kutamka kuwa wananchi wasilitupie lawama wanapoporwa na majambazi, kwa kuwa hawapaswi kutembea na maburungutu ya mapesa!

Ni dhahiri kuwa hiyo amani inayohubiriwa kwenye majukwaa ya kisiasa ni propaganda za kisiasa na usanii wa hali ya juu, unaotimiwa na viongozi wetu walioko madarakani kutaka waendelee kudumu madarakani kwa kutumia ignorance, ya watanzania walio wengi!!
 
pumba.

zimekuwepo kauli za mazoea kwa nchi ya watu wenye kuwaza zaidi ya kufikiria na kuridhika kuwa wamefikia hatua ya juu ya kufikiria sawasawa. nchi hii ni TANZANIA. utawasikia viongozi pamoja na raia mbalimbali wakinena tena kwa hisia zilizozidi kipimo ati:
" Tanzania ni kisiwa cha amani, tujivunie kuwa nchi ya amani duniani. nci yetu inasifika kuwa ya amani au kisiwa cha amani duniani" Lakini katika uchunguzi mdogo niliofanya, nimegundua Tanzania si nchi ya amani kama wanavyoitangaza hasa viongozi.

Si maanishi kuwa si nchi ya amani, bali nasema hiyo amani inayotangazwa sio halisi kama ilivyo......kama ni amani tanzania ina amani ama ndogo au ya kawaida sana. Majarida mawili niliyoyapitia yamethibitisha hilo kama ifuatavyo:


(a) JARIDA LA "FORBES" The world most peaceful countries.
1. iceland
2.denmark
3.new zealend
4.australia
5.switzealand
6.japan
7.finland
8.canada
9.sweden
10. belgium

(b) JARIDA LA "AMERIKANKI" The 20 most peaceful countries in the world:

1.denmark
2.norway
3.singapole
4. slovenia
5.sweden
6.iceland
7.belgium
8.czech republic
9.switzerland
10.japan
11.ireland
12. finland
13. new zealand
14.canada
15.austria
16.bhutan
17.australia
18.portugal
19.qatar
20.mouritus.

Lakini kwa mujibu wa uchunguzi ulifanywa na " the 2011 Global Peace Initiative "Botswana, Mali na Ghana ndizo nchi zenye amani sana barani afrika kuliko nchi nyingine.
kwa ushahidi huu hakika tanzania ni nchi ya amani ya kawaida dunia na wala sio kisiwa cha amani kama wanavyodai waliozoea kuwaza badala ya kufikiri. kwa hiyo tanzania sio kisiwa cha amani kama wanavyodai viongozi.


Lakini kwanini tunasema nchi hii ni ya amani? je amani ni kutokuwa na vita tu? je vita ni nini? ni kweli tanzania haina vita? je amani ni ipi kama watu wanaandamana wanapigwa, wanakamatwa na kufungwa, kutekwa na kuuawa? amani iko wapi kama viongozi wanatoa kauli za kutishia nyau endapo wanabainika na tuhuma? amani gani kwa watu kukosa hata milo miwili kwa siku? amani ni ipi kama kuna utitili wa wasio na ajira?


SWALI NAWAACHIA WADAU: Je, tanzania ni kisiwa cha amani kweli?
 
tanzania hakuna amani, kuna woga tu na mambumbumbu wa akiri
 
Back
Top Bottom