Je Tanzania kuna Chama cha Wakemia

Je Tanzania kuna Chama cha Wakemia

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,086
Habarini za leo wakuu.

Nahitaji kujua kama kuna chama cha wakemia Tanzania.

Na kama kipo kazi zake ni zipi hapa nchini.

Na kama hakipo kwanini hakipo wakati field ya kemia ipo hadi Kwenye katiba.

Sote tunajua kuna mkemia mkuu wa serikali Tanzania.

Je, yeye kama mkemia mkuu hana jukumu lolote la katika jumuhia za wakemia duniani na nchini?

Ni hayo tu wakuu
 
Habarini za leo wakuu.

Nahitaji kujua kama kuna chama cha wakemia Tanzania.

Na kama kipo kazi zake ni zipi hapa nchini.

Na kama hakipo kwanini hakipo wakati field ya kemia ipo hadi Kwenye katiba.

Sote tunajua kuna mkemia mkuu wa serikali Tanzania.

Je, yeye kama mkemia mkuu hana jukumu lolote la katika jumuhia za wakemia duniani na nchini?

Ni hayo tu wakuu
Chama kipo ingia kwenye website yao ujisomee mwenyeww

www.tcs-tz.org
 
Unauliza board ya wakemia au Tanzania society ya wakemia ? Nijuavyo ipo TCS Tanzania Chemical society lakini hawana bodi ,hii TCS wanachukua ada na kula tu
 
Unauliza board ya wakemia au Tanzania society ya wakemia ? Nijuavyo ipo TCS Tanzania Chemical society lakini hawana bodi ,hii TCS wanachukua ada na kula tu
Kwani tofauti ya Board na Chama ni nini
 
Back
Top Bottom