Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,296
- 3,929
"Samahani kwa kuuliza, lakini naomba kujua kama Tanzania kuna Atheist Society au jamii yoyote rasmi ya watu wasioamini uwepo wa Mungu? Kama hakuna, kwanini jamii kama hii haipo hadi sasa wakati nchi nyingine zina uhuru wa imani mbalimbali? Je, ni kwa sababu ya mazingira ya kijamii, sheria, au hofu ya unyanyapaa? Niko tu curious kujua sababu na maoni yenu kuhusu hili
Pia kwanini isiundwe ili watu tujiunge
Pia kwanini isiundwe ili watu tujiunge