Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,278
- 2,041
Wadau kutokana na Mafanikio ya YANGA na SIMBA ktk Michezo ya Champion league nasikia tumeongezewa timu za kushiriki Champion League je ni kweli? Kama ndio tumepewa Timu zetu ngapi zitakazoshiriki?