wanasahau kwamba raisi samia alivyochukuwa power akina tundu lisu &co. walifurahia sana, raisi samia moja ya safari zake za kwanza ilikuwa ubelgiji na alikutana na tundu lisu na sijui akampa passport huo usanii wote ulikuwa live hapa, hata tundu lisu kusema sijui kurudi “nyumbani” na kupokelewa kama mfalme yote ni wa raisi samia leo hii iweje awe mbaya? tundu lisu kuna mambo waliahidiana labda kwenye kushare power sasa kutimiziana imeshindikana na sasa imekuwa mwaga mboga nimwage ugali kama tusemavyo waswahili lkn hakuna chochote hapo ni usanii tu, besides kuna sababu kwa nini tundu lisu anaweza ongea chochote bila ya chochote kumpata, labda anajua mengi lkn nafikiri kuna mpaka pia ngoja tusubiri …