Je, stail hii ni Ujanja au Ushamba?

Je, stail hii ni Ujanja au Ushamba?

Duuuh! kwa mkao huo Jama angekuwa Mombasa nadhani angeshakuwa Tajiri kitambo.
 
kukimbilia tu hukumu. Hapo kuna mawili: amegeuza boxer mbele kukawa nyuma bila kujijua, au boxer yake imechanika, na yeye kwa umaskini wake au ile kusema "nani ataona?" akaendelea kuivaa bila kuishona. Kosa lake labda kuvaa kata k kisha kuinama bila kuchukua tahadhari.
 
Miaka yetu walisema: kichwa kikigusa basi wewe ni ms...e tayari. Na hiyo nembo ya ms...nge ilikuwa haitoki, labda uhame mji I am sure angekuwa anapita Makurumla wakati wa boli, basi watu wangemtawaza jina
 
haahahaha nimechekaje, hivi si anaweza kuwalipua wenzie maana mzinga alivoutegesha hahaaa
 
Dar si lamu joto sana acha upunge upepo.
 
huyu anafanya kusudi asikii upepo unampuliza???
 
Ngugu angekuwa jay z, 50cent,au criss brown ndio kavaa hivo walahi msinge diss mngeona kama mtindo mpya lkn kwa kuwa nimshikaji flani hiv choka mbaya ndo ishakuwa kesi
 
MTU anaejielewa havai hivo,pia ni umri unachangia,binafsi nshafanya hayo na uhuni mwingi tu unaofanana na huo kias nliwaudhi ndg zangu, lkn kwa umri huu!! hata nikiwaona vijana wamevaa hivo nachukia,cpendi KBS.
Nawewe uliacha mkun6u wazi kama huyu? duuu !! na mainzi wakakufata hapo nyuma kama huyu jamaa kwa picha? ongera bwana mwayena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom