Je, Siku hizi Polisi ni wataalamu wa jiolojia?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,670
22,258
Ninaangalia taarifa ya Habari ITV saa mbili usiku leo Ijumaa 20/11/2020, habari iliyonishitua inahusu tope linalotoka aridhini eneo la Kunduchi ambapo wataalamu wa Jiolojia toka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wakishirikiana na Jeshi la Polisi

Wataalam hawana kifaa chochote cha kuweza kutambua kinachoendelea chini ya ardhi na kuwa zaidi uwepo wa polisi kama nao ni wataalamu wa jiolojia

Huu ni mzaha kwenye suala zito linalohusu usalama wa wakazi wa eneo husika. Katika kundi la watu waliokuwepo hapo kijana mmoja alikanyaga tope hilo na mguu wake ulitumbukia mpaka kwenye goti na kuokolewa na mtu aliyekuwa karibu naye, hivyo kuashiria ni kina kirefu, jambo la ajabu ni kutowekwa kizuizi kuzunguruka eneo hilo ili kuzuia watu watakaopita hapo usiku wasitumbukie.
 
Ninaangalia taarifa ya habari ITV saa mbili usiku leo Ijumaa 20/11/2020, habari iliyonishitua inahusu tope linalotoka aridhini eneo la Kunduchi ambapo wataalamu wa Jiolojia toka chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wakishirikiana na jeshi la polisi!

Wataalam hawana kifaa chochote cha kuweza kutambua kinachoendelea chini ya ardhi na kuwa zaidi uwepo wa polisi kama nao ni wataalamu wa jiolojia!

Huu ni mzaha kwenye suala zito linalohusu usalama wa wakazi wa eneo husika. Katika kundi la watu waliokuwepo hapo kijana mmoja alikanyaga tope hilo na mguu wake ulitumbukia mpaka kwenye goti na kuokolewa na mtu aliyekuwa karibu naye, hivyo kuashiria ni kina kirefu, jambo la ajabu ni kutowekwa kizuizi kuzunguruka eneo hilo ili kuzuia watu watakaopita hapo usiku wasitumbukie.
Wewe tunakiwa tukukamate tukuweke viboko, kama unavijua hivyo vifaa kwanini usingeenda navyo wewe
 
Kwa ss tuliosomea kidogo geology watoto wa Prof :Ikingura hiyo kitu inaweza ikawa ni "mud volcano".ila sababu sijafika eneo la tukio siwezi sema moja kwa moja kwamba ni "mud volcano".

Kuna vitu vingi vya kuangalia kama joto la hilo tope,ukubwa wa eneo lililo athirika na gesi zinazozalishwa hapo katika hilo eneo lililo athirika .

Haina madhara isipokuwa wanatakiwa watu waondolewe kwenye hilo eneo na eneo jirani coz inaweza tengeneza mashimo makubwa watu wakawa wanamezwa na shimo.
 
Kwa ss tuliosomea hayo kidogo geology hiyo kitu inaweza ikawa ni "mud volcano".ila sababu sijafika eneo la tukio siwezi sema moja kwa moja kwamba ni "mud volcano".

Haina madhara isipokuwa wanatakiwa watu waondolewe kwenye hilo eneo na eneo jirani coz inaweza tengeneza mashimo makubwa watu wakawa wanamezwa na shimo.

Hee! kumezwa tena jamani, mbona mapya haya
Laana ya kura za mabegi
 
Hee kumezwa tena jamani, mbona mapya haya
Laana ya kura za mabegi
Kama itakuwa ndio hiyo mud volcano kunakuwa na tope linatoka ardhini na kutupwa pembeni na kuacha shimo ss kama usiku mtu anapita anaweza tumbukia kama shimo lililoachwa litakuwa refu.Ndio maana polisi wameenda kuakikisha usalama maana wajibu wa polisi ni kuhakikisha usalama wa raia.
Hayo ni mambo ya kawaida sio yakuogopa wala hayaitaji tambiko.
 
Kama itakuwa ndio hiyo mud volcano kunakuwa na tope linatoka ardhini na kutupwa pembeni na kuacha shimo ss kama usiku mtu anapita anaweza tumbukia kama shimo lililoachwa litakuwa refu.Ndio maana polisi wameenda kuakikisha usalama maana wajibu wa polisi ni kuhakikisha usalama wa raia.
Hayo ni mambo ya kawaida sio yakuogopa wala hayaitaji tambiko.
Mi nikafikiri sasa tunahitaji karumanzira
 
Kwa ss tuliosomea kidogo geology watoto wa Prof :Ikingura hiyo kitu inaweza ikawa ni "mud volcano".ila sababu sijafika eneo la tukio siwezi sema moja kwa moja kwamba ni "mud volcano".

Kuna vitu vingi vya kuangalia kama joto la hilo tope,ukubwa wa eneo lililo athirika na gesi zinazozalishwa hapo katika hilo eneo lililo athirika .

Haina madhara isipokuwa wanatakiwa watu waondolewe kwenye hilo eneo na eneo jirani coz inaweza tengeneza mashimo makubwa watu wakawa wanamezwa na shimo.
Unasalimiwa pia na Prof Mbede na prof maboko ☺
 
Back
Top Bottom