Jeanclaude
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 259
- 238
Hapa nazungumzia kumsaidia mpenzi wako wa kike aliye chuoni fedha za matumizi. Je, ni sahihi? Na kama usipomsaidia akapata shida upendo wako kwake utakuwa na maana yoyote? Wadau ushauri tafadhali
^^
Hudumia tu Mkuu..ila kweli hapo Chuo (Kikuu) ni kucheza pata potea
^^
Ukweli mchungu mkuu
Kumsaidia mtu sio vibaya, hasa mpenzi wako ila do not invest in her expecting dividends! Kama unawiwa kumpa msaada as a friend, ni kitu kizuri ila kumpa kitu kwa sababu una matarajio flani, utaumia!
Msaidie kama unavyo wasaidia wengine.... ukitegemea kua akimaliza uje uishi nae, unaweza kuumia au kufurahi.
Msaidie kama unaweza ila usitegemee mavunoHapa nazungumzia kumsaidia mpenzi wako wa kike aliye chuoni fedha za matumizi. Je, ni sahihi? Na kama usipomsaidia akapata shida upendo wako kwake utakuwa na maana yoyote? Wadau ushauri tafadhali
unauliza m-k-u-n-d-- wa dogi angali umenyanyua hadi mkia, eti jaman mnanihii wa huyu dogi upo wapi