The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
I see....kazi kweli kweliRuksa kuoana na kuna CASES nyingi tu kama hizo... Hawa siyo ndugu "wa damu"...
I see....kazi kweli kweliRuksa kuoana na kuna CASES nyingi tu kama hizo... Hawa siyo ndugu "wa damu"...
Wamesha kuwa
ndugu tangu wazazi
wao wafunge pingu za maisha
ndugu si lazima awe wa damu au
tumbo moja.. mama yangu ame adopt watoto
wawili na hao ni wadogo zangu sasa na ni ndugu
zangu..nataka tu kuonyesha si lazima mtoke tumbo moja..
Mimi naongelea uzoefu my dear siyo nadharia - Watoto wa kufikia wanaoana bila tatizo lolote - January 2011 tuliwaozesha - Baba yake binti alishafariki na Mama yake mvulana yupo hai - So ilikuwa ni Baba wa Mvulana na Mke (wa zamani) wanaoezesha na Baba wa Mvulana na Mke (Mpya) wanaoza - Baba ali-play single role!
Afrodenzi,
Hawa siyo ndugu hata kidogo - ndugu lazima mtoke kwenye "family tree" moja na siyo kwenye "family branch"...
"Baba/Mama wa kufikia" siyo BABA na Wala Siyo MAMA bali ni MLEZI...
Mmmhhh
wanaweza
lakini is not acceptable
This is incest..
In my opinion
Ndugu si lazima
Mtoke tumbo moja
Hawa wawili wazazi
Wao wamesha oana
tayari wao ni ndugu
Na kama wanaishi nyumba..
Moja automatic wamesha kuwa kaka na dada