Je, Rais Samia ni F.W. De Klerk Mpya wa Tanzania?

Je, Rais Samia ni F.W. De Klerk Mpya wa Tanzania?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,947
Reaction score
74,429
Rais huyu wa Tanzania ametokea katika kundi (hama) kubwa la utawala wenye itikadi za kubagua wananchi wengine, wasio taka maridhiano, wenye wivu na nongwa na wengine wakatili kwa wenye itikadi tofauti.

Lakini yeye katikati yao amejitokeza na kuwa tofauti nao kabisa. Huku wenzake wakionyesha wazi kuwa hawafurahishwi na hizo tabia njema alizo nazo za kutaka maridhiano kama taifa na mabadiliko na bila kupepesa maneno kinachomsaidia kufanya haya ni nguvu ya mamlaka ya Urais tuu sio support ya wenzake kwenye chama maana hiyo hana.

Kwa wana historia wanakumbuka tabia za kisiasa za makaburu wa SA, ubaguzi wao, ukatili nk hadi ujio wa Rais F W de Klerk ambaye ndiye alimuachia toka Jela Mandela na wanamapinduzi wengi. Kisha Katiba ya muda ikapita na uchaguzi huru kufanyika.

Ukiangalia kwa makini Rais Samia ana kila sifa za kuonekana kuwa ni F W de Klerk mpya wa Tanzania ya sasa. Hivyo CCM wakae mkao wa kutulia afanye kazi yake kwa kushirikiana na wenye nia njema na taifa.
 
Samia kafanya nn?.

Hoka ni kwamba, Zunguka Duniani kote, hutokaa ukutane na Upinzani UCHWARA kama Upinzani ulipo Tanzania
 
Rais huyu wa Tanzania ametokea katika kundi (hama) kubwa la utawala wenye itikadi za kubagua wananchi wengine, wasio taka maridhiano, wenye wivu na nongwa na wengine wakatili kwa wenye itikadi tofauti.
Lakini yeye katikati yao amejitokeza na kuwa tofauti nao kabisa. Huku wenzake wakionyesha wazi kuwa hawafurahishwi na hizo tabia njema alizo nazo za kutaka maridhiano kama taifa na mabadiliko.
Na bila kupepesa maneno kinachomsaidia kufanya haya ni nguvu ya mamlaka ya Urais tuu sio support ya wenzake kwenye chama maana hiyo hana.
Kwa wana historia wanakumbuka tabia za kisiasa za makaburu wa SA , ubaguzi wao, ukatili nk hadi ujio wa Rais F W de Klerk ambaye ndiye alimuachia toka Jela Mandela na wanamapinduzi wengi. Kisha Katiba ya muda ikapita na uchaguzi huru kufanyika.
Ukiangalia kwa makini Rais Samia ana kila sifa za kuonekana kuwa ni F W de Klerk mpya wa Tanzania ya sasa. Hivyo CCM wakae mkao wa kutulia afanye kazi yake kwa kushirikiana na wenye nia njema na taifa.
Mtamuita majina yote ila chadema imeshapoteana
 
Mtamuita majina yote ila chadema imeshapoteana
Nyie mnapenda siasa za minyukano na ugomvi na mapambano utadhani mnayaweza .
Mkiambiwa hata maandamano ya bei ya sukari kupanda hakuna hata mmoja anajitokeza.
Lakini mnataka Mbowe, Sugu, Lema, Martin, Msigwa na wengineo waache familia zao wasote magereza, wapigwe virungu nyie mkijificha uvunguni.
Ufala huo hakuna anayeutaka tena. Tutazungumza mezani na kubishana kwa hoja tuu hadi kieleweke
 
Kila kiumbe hapa duniani kimepangiwa legacy yake na Mwenyezi Mungu. Hivyo kama kweli huyu Mama anatamani kjiona Tanzania Mpya, basi atengeneze Legacy yake.

Mambo ya kumfananisha na mtu mwingine, kwa mtazamo wangu naona siyo sahihi.
 
Rais huyu wa Tanzania ametokea katika kundi (hama) kubwa la utawala wenye itikadi za kubagua wananchi wengine, wasio taka maridhiano, wenye wivu na nongwa na wengine wakatili kwa wenye itikadi tofauti.
Lakini yeye katikati yao amejitokeza na kuwa tofauti nao kabisa. Huku wenzake wakionyesha wazi kuwa hawafurahishwi na hizo tabia njema alizo nazo za kutaka maridhiano kama taifa na mabadiliko.
Na bila kupepesa maneno kinachomsaidia kufanya haya ni nguvu ya mamlaka ya Urais tuu sio support ya wenzake kwenye chama maana hiyo hana.
Kwa wana historia wanakumbuka tabia za kisiasa za makaburu wa SA , ubaguzi wao, ukatili nk hadi ujio wa Rais F W de Klerk ambaye ndiye alimuachia toka Jela Mandela na wanamapinduzi wengi. Kisha Katiba ya muda ikapita na uchaguzi huru kufanyika.
Ukiangalia kwa makini Rais Samia ana kila sifa za kuonekana kuwa ni F W de Klerk mpya wa Tanzania ya sasa. Hivyo CCM wakae mkao wa kutulia afanye kazi yake kwa kushirikiana na wenye nia njema na taifa.
Hawako sawa...wala hawalingani.
 
Samia kafanya nn?.

Hoka ni kwamba, Zunguka Duniani kote, hutokaa ukutane na Upinzani UCHWARA kama Upinzani ulipo Tanzania
Na mimi nasema zunguka duniani kote hutokaa ukutane na wananchi wasiojitambua kama watanzania!!wapinzani wame watetea sana lakini mijitu haijitambui unataka wafanye nini?!!"mtu kupata maji ya kunywa tu baada ya miaka 60 ya uhuru anagalagala chini na kumlamba miguu mbunge!!
 
Nyie mnapenda siasa za minyukano na ugomvi na mapambano utadhani mnayaweza .
Mkiambiwa hata maandamano ya bei ya sukari kupanda hakuna hata mmoja anajitokeza.
Lakini mnataka Mbowe, Sugu, Lema, Martin, Msigwa na wengineo waache familia zao wasote magereza, wapigwe virungu nyie mkijificha uvunguni.
Ufala huo hakuna anayeutaka tena. Tutazungumza mezani na kubishana kwa hoja tuu hadi kieleweke
Siwezi kuandamana sababu sioni sababu ya kuandamana , Tanzania hatuna wanasiasa ila tuna wafanyabiashara wa siasa

Katika maisha yangu sijawahi kupiga kura kwa ajili ya kuchagua wanasiasa wafanyabiashara
 
Rais huyu wa Tanzania ametokea katika kundi (hama) kubwa la utawala wenye itikadi za kubagua wananchi wengine, wasio taka maridhiano, wenye wivu na nongwa na wengine wakatili kwa wenye itikadi tofauti.
Lakini yeye katikati yao amejitokeza na kuwa tofauti nao kabisa. Huku wenzake wakionyesha wazi kuwa hawafurahishwi na hizo tabia njema alizo nazo za kutaka maridhiano kama taifa na mabadiliko.
Na bila kupepesa maneno kinachomsaidia kufanya haya ni nguvu ya mamlaka ya Urais tuu sio support ya wenzake kwenye chama maana hiyo hana.
Kwa wana historia wanakumbuka tabia za kisiasa za makaburu wa SA , ubaguzi wao, ukatili nk hadi ujio wa Rais F W de Klerk ambaye ndiye alimuachia toka Jela Mandela na wanamapinduzi wengi. Kisha Katiba ya muda ikapita na uchaguzi huru kufanyika.
Ukiangalia kwa makini Rais Samia ana kila sifa za kuonekana kuwa ni F W de Klerk mpya wa Tanzania ya sasa. Hivyo CCM wakae mkao wa kutulia afanye kazi yake kwa kushirikiana na wenye nia njema na taifa.
Acha zako bwashee, nchi inashida nyingi toa blablaa zako hapo, tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ok
 
Mtamuita majina yote ila chadema imeshapoteana
Walishindwa kupoteana kipindi cha shetani waje kupoteana kipindi cha MALAIKA!!siasa sio uadui bali ni utofauti wa mawazo tu.Ma ccm hayataki hilo na yanaumia sana kwa hili linaoendelea.
 
Rais huyu wa Tanzania ametokea katika kundi (hama) kubwa la utawala wenye itikadi za kubagua wananchi wengine, wasio taka maridhiano, wenye wivu na nongwa na wengine wakatili kwa wenye itikadi tofauti.
Lakini yeye katikati yao amejitokeza na kuwa tofauti nao kabisa. Huku wenzake wakionyesha wazi kuwa hawafurahishwi na hizo tabia njema alizo nazo za kutaka maridhiano kama taifa na mabadiliko.
Na bila kupepesa maneno kinachomsaidia kufanya haya ni nguvu ya mamlaka ya Urais tuu sio support ya wenzake kwenye chama maana hiyo hana.
Kwa wana historia wanakumbuka tabia za kisiasa za makaburu wa SA , ubaguzi wao, ukatili nk hadi ujio wa Rais F W de Klerk ambaye ndiye alimuachia toka Jela Mandela na wanamapinduzi wengi. Kisha Katiba ya muda ikapita na uchaguzi huru kufanyika.
Ukiangalia kwa makini Rais Samia ana kila sifa za kuonekana kuwa ni F W de Klerk mpya wa Tanzania ya sasa. Hivyo CCM wakae mkao wa kutulia afanye kazi yake kwa kushirikiana na wenye nia njema na taifa.
ha ha ha hapana japo umejitahidi kuleta wazo
 
Rais huyu wa Tanzania ametokea katika kundi (hama) kubwa la utawala wenye itikadi za kubagua wananchi wengine, wasio taka maridhiano, wenye wivu na nongwa na wengine wakatili kwa wenye itikadi tofauti.


Lakini yeye katikati yao amejitokeza na kuwa tofauti nao kabisa. Huku wenzake wakionyesha wazi kuwa hawafurahishwi na hizo tabia njema alizo nazo za kutaka maridhiano kama taifa na mabadiliko na bila kupepesa maneno kinachomsaidia kufanya haya ni nguvu ya mamlaka ya Urais tuu sio support ya wenzake kwenye chama maana hiyo hana.

Kwa wana historia wanakumbuka tabia za kisiasa za makaburu wa SA, ubaguzi wao, ukatili nk hadi ujio wa Rais F W de Klerk ambaye ndiye alimuachia toka Jela Mandela na wanamapinduzi wengi. Kisha Katiba ya muda ikapita na uchaguzi huru kufanyika.

Ukiangalia kwa makini Rais Samia ana kila sifa za kuonekana kuwa ni F W de Klerk mpya wa Tanzania ya sasa. Hivyo CCM wakae mkao wa kutulia afanye kazi yake kwa kushirikiana na wenye nia njema na taifa.
Ndio na sababu ni moja,tabia za mafisi zilimkera,hivyo ameamua kuyabadili mafisi toka mwituni hata kuwa mafisi ya kufugwa na yasiyodhuru tena binadamu😂
 
Rais huyu wa Tanzania ametokea katika kundi (hama) kubwa la utawala wenye itikadi za kubagua wananchi wengine, wasio taka maridhiano, wenye wivu na nongwa na wengine wakatili kwa wenye itikadi tofauti.


Lakini yeye katikati yao amejitokeza na kuwa tofauti nao kabisa. Huku wenzake wakionyesha wazi kuwa hawafurahishwi na hizo tabia njema alizo nazo za kutaka maridhiano kama taifa na mabadiliko na bila kupepesa maneno kinachomsaidia kufanya haya ni nguvu ya mamlaka ya Urais tuu sio support ya wenzake kwenye chama maana hiyo hana.

Kwa wana historia wanakumbuka tabia za kisiasa za makaburu wa SA, ubaguzi wao, ukatili nk hadi ujio wa Rais F W de Klerk ambaye ndiye alimuachia toka Jela Mandela na wanamapinduzi wengi. Kisha Katiba ya muda ikapita na uchaguzi huru kufanyika.

Ukiangalia kwa makini Rais Samia ana kila sifa za kuonekana kuwa ni F W de Klerk mpya wa Tanzania ya sasa. Hivyo CCM wakae mkao wa kutulia afanye kazi yake kwa kushirikiana na wenye nia njema na taifa.
😅😅😅😅
 
Ilianza Franklin D. Roosevelt, ikaja Deng Xiaoping sasa ni F. W. De Klerk inayo fuata ni
Hitler
Idd Amin
Mobutu
 
Tanzania ni nchi huru, hivyo kumfananisha Rais na Kaburu unakosea.
Hata hivyo, fikra za kikaburu za baadhi ya viongozi na wafuasi wa vyama, ni lazima zipingwe na kuepukwa kwa mustakabali mwema wa taifa.
Tumpongeze sana Rais Samia kwa hilo.
Maridhiano ya kisiasa ni muhimu sana. Watanzania ni wamoja na Afrika ni moja.
 
Back
Top Bottom