Je, Rais mstaafu Kikwete, alikusudia nini kwa matamshi haya?

Sasa mbona kiswanglish.? Amua moja kama ni kuandika kiswahiri au kiingeleza we unadhani kila mtu anaelewa hicho kimombo chako.
 
kasema aitwe kipindi cha uchaguzi yeye na wazee wenzake hapo najua ni goli la mkono linahusika ukiwa mtu mzima utaelewa kuwa lazima rafu ichezwe na makubwa watoto hawawezi kitu
 
Kuna maneno mengine ni ya kawaida sana, Mtu unashindwa kula au kufikiri vitu vya msingi unaongelea neno Mzee kwa nyakati kama hizi kweli?
 
Mkuu majibu yako, somehow ni kama yamejaa political spin, and I respect that, lkn kuweza kuelewa ninachokiongelea is beyond the realm ya kile kinachoongelewa, na hujajibu au kuelezea in full, considering the historical context ya ninachokiongelea and that's where I drew my assumptions or hypothesis if you like...

Kumwambia kama utani au mashara, mimi naelewa hio part, lakini tamko lake yeye Mstaafu na matamko yake mtawala wa sasa juu ya utawala wa kikwete hayashahabiani ktk maswala ya kiutani, mathalani Rais alipomwambia maneno fulani wakati wa kikao cha majaji na mahakimu pale jukwaani, yalimtoka kama utani ambao aliyaweka kama utani, lkn it was a serious issue he(Rais ) meant serious, na kikwete alikua embarrassed in front ya kadamnasi,

Sasa kwako naomba unielezee utani wa maneno aliyoyasema, don't ignore maneno ya Kikwete again I'm paraphrasing "...ana lake jambo.... anataka kuninyima nini" , I don't understand the joke au wazee kuna vitu wananyimwa?lol

Kuhusu Kinana kwa comment yako tuko pamoja, until uliposema sio kama undervalued, and again that a political spin.. yeye Rais aliwahi kumsifu kinana until baada ya kauli ya Mstaafu..? Na kumbuka kauli ya Kinana wakati Rais wa sasa anachukua hatamu, alipoitoa kwenye kigoda cha kikao cha Nyerere kila mwaka, Just thinkings..

Na jengine kuhusiana na Wazee, I don't agree or disagree with what you imply kwa kauli ya Kikwete, I have another opinion, ambayo nimeisemea bado hujaijibu, chama hujengwa na utekelezaji wa sera na sio kuwa kiwe defended na wastaafu? Unaweza kuniletea mifano ya nchi za watu, lkn if you dare go that level, then kuna mengi ya kuongea na kigoda kitakua kidogo hichi..

Natanguliza shukran Mkuu !
Kumbe unataka majibu gani.manake umeshajibiwa kuhusu uzee na wewe ulivyoileta hoja pia imekaa kisiasa zaidi na upande uliouegemea na tathmini ya haraka kwamba utafurahishwa na kuridhishwa na majibu yepi is based on your NAME.
 
Kwanini msimuulize aliyesema anataka kupewa nini? Manake watu wa Pwani ukidevela hawakawii kukupelekea moto.

tunajuaga mabinti ndio wanajibiwa hivyo?
 
Mkuu you are very funy, kwani wewe unatokea Mkoa gani? Unashindwa kutofautisha monkey na apes,

Huyo si monkey ni apes, sasa nitakutatiza kidogo na historical facts, all written in English, and read by yourself what they say about these historical hypothesis, please keep reading

Quote..Humans are hominoids. Hominoidea is a taxonomic group. Phylogenetic systematics holds that taxonomic groups should be monophyletic — meaning that they include all the descendants of one ancestor, and don’t leave any descendants out. Humans are closely related to chimpanzees and bonobos, more distantly to gorillas, then orangutans, then gibbons. All these living creatures are crown hominoids. The Hominoidea includes all these, together with extinct animals like Australopithecus, Proconsul, Dryopithecus, and many others. Chimpanzees are apes. Gorillas are apes, as are bonobos, orangutans, and gibbons. We routinely differentiate the “great apes” from the “lesser apes”, where the latter are gibbons and siamangs. Humans are not apes. Humans are hominoids, and all hominoids are anthropoids. So are Old World monkeys like baboons and New World monkeys like marmosets. All of us anthropoids. But humans AREN'T monkeys.unquote

You want to read more please follow the link below :-

Are humans, apes, monkeys, primates, or hominoids?

But I suspect facts are not cup of your tea, monkey are not part of the evolution process...so In answering my question posed to you, which stage are you in ?
hahaha we ni mwepesi wa kukimbilia google mkuu anyway ilikuwa changamsha kijiwe tuendelee kujadili mambo ya kitaifa
 
Back
Top Bottom