Je, Rais mstaafu Kikwete, alikusudia nini kwa matamshi haya?

Andrew Mushi

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
630
696
Hivi Kikwete, aliposema Magufuli kutwa kumuita yeye I'm only paraphrasing "mzee mzee..anataka kuninyima nini.. Na kumalizia huyu ana lake jambo ", nilimuona jinsi gani alivyoudhika na maneno yale, Na hatma yake akayarudia tena jukwaani from a very private conversation between the two, kama tulivyosikia, je alikusudia nini hasa?, kwa hisia zangu amejaribu to expose the hypocrisy of the man himself or what exactly?

Je kikwete alipoinuka na kuweka sawa juu ya nini msingi MKUBWA uliopelekea mapendekezo yake, to reform the party, because of expanding COST na kukosekana kwa mapato ya chama, alikusudia nini ? Contrary to what was said by Mwenyekiti, his message was more antagonising the members... not well received..

Na je Kikwete, alifikiria nini hasa, alipomtaja katibu Mkuu Kinana aliyekuja na mkakati wa ushindi wa chaguzi zilizopita na ya kwake, je alihisi kama Kinana yuko undervalued under this administration?


Na jengine Kikwete kuwekwa wazi, aitwe wakati wa uchaguzi tu!, kuja kutetea chama, amekusudia nini kwa kusema hili? Je ameona uongozi chini ya Rais hauko imara kiasi ya kwamba, wanavuruga ikifika uchaguzi, waingie wazee waweke sawa? Mimi nilifikiri sera na utekelezaji wa sera ndio unakiuza chama? Was I wrong? Or my curiosity is on que or am I thinking beyond the realm of my thoughts?

What's your thoughts?
 
Hivi Kikwete, aliposema Magufuli kutwa kumuita yeye I'm only paraphrasing "mzee mzee..anataka kuninyima nini.. Na kumalizia huyu ana lake jambo ", nilimuona jinsi gani alivyoudhika na maneno yale, Na hatma yake akayarudia tena jukwaani from a very private conversation between the two, kama tulivyosikia, je alikusudia nini hasa?, kwa hisia zangu amejaribu to expose the hypocrisy of the man himself or what exactly?

Je kikwete alipoinuka na kuweka sawa juu ya nini msingi MKUBWA uliopelekea mapendekezo yake, to reform the party, because of expanding COST na kukosekana kwa mapato ya chama, alikusudia nini ? Contrary to what was said by Mwenyekiti, his message was more antagonising the members... not well received..

Na je Kikwete, alifikiria nini hasa, alipomtaja katibu Mkuu Kinana aliyekuja na mkakati wa ushindi wa chaguzi zilizopita na ya kwake, je alihisi kama Kinana yuko undervalued under this administration?


Na jengine Kikwete kuwekwa wazi, aitwe wakati wa uchaguzi tu!, kuja kutetea chama, amekusudia nini kwa kusema hili? Je ameona uongozi chini ya Rais hauko imara kiasi ya kwamba, wanavuruga ikifika uchaguzi, waingie wazee waweke sawa? Mimi nilifikiri sera na utekelezaji wa sera ndio unakiuza chama? Was I wrong? Or my curiosity is on que or am I thinking beyond the realm of my thoughts?

What's your thoughts?
Hana iman na mabadiliko
 
Dr Magufuli amempa heshima yake Mzee Kikwete kwa kumuita Mzee Kikwete

Na Mzee Kikwete kuongea kuhusu Dr Magufuli kumuita Mzee Kikwete eti anataka kumnyima nini huo ni utani wao mkwere na msukuma.

Kuhusu Comrade Kinana ni kweli amefanya kazi ngumu sana ktk chama na Dr Kikwete aliona anastahili kuwa recognized kwa kazi hiyo sio kuwa yuko undervalued.

Mzee Kikwete kama Mwenyekiti mstaafu ameomba aitwe wakati wa Uchaguzi ila kwa sasa wenye madarakani waendelee na kazi kwa majibu wa katiba ili wawe huru.Mzee Kikwete hajataka kila jambo wawe wanaitwa kama wazee wastaafu.Ila wako tayari kukipigania chama wakati wa Uchaguzi.
 
JK ameshajua kuwa huyu jamaa wa chattle ni galasa. Anafanya mambo kijinga kijinga, kuanzia kwenye chama hadi serikalini. Na akiendeleza ujinga wake, watamsusia hata kwenye uchaguzi, wamemchoka bado mapema, wanakerwa na maamuzi yake yasiyo na tija kwa chama wala taifa. JK anajuta sana.
 
Dr Magufuli amempa heshima yake Mzee Kikwete kwa kumuita Mzee Kikwete

Na Mzee Kikwete kuongea kuhusu Dr Magufuli kumuita Mzee Kikwete eti anataka kumnyima nini huo ni utani wao mkwere na msukuma.

Kuhusu Comrade Kinana ni kweli amefanya kazi ngumu sana ktk chama na Dr Kikwete aliona anastahili kuwa recognized kwa kazi hiyo sio kuwa yuko undervalued.

Mzee Kikwete kama Mwenyekiti mstaafu ameomba aitwe wakati wa Uchaguzi ila kwa sasa wenye madarakani waendelee na kazi kwa majibu wa katiba ili wawe huru.Mzee Kikwete hajataka kila jambo wawe wanaitwa kama wazee wastaafu.Ila wako tayari kukipigania chama wakati wa Uchaguzi.

Mkuu majibu yako, somehow ni kama yamejaa political spin, and I respect that, lkn kuweza kuelewa ninachokiongelea is beyond the realm ya kile kinachoongelewa, na hujajibu au kuelezea in full, considering the historical context ya ninachokiongelea and that's where I drew my assumptions or hypothesis if you like...

Kumwambia kama utani au mashara, mimi naelewa hio part, lakini tamko lake yeye Mstaafu na matamko yake mtawala wa sasa juu ya utawala wa kikwete hayashahabiani ktk maswala ya kiutani, mathalani Rais alipomwambia maneno fulani wakati wa kikao cha majaji na mahakimu pale jukwaani, yalimtoka kama utani ambao aliyaweka kama utani, lkn it was a serious issue he(Rais ) meant serious, na kikwete alikua embarrassed in front ya kadamnasi,

Sasa kwako naomba unielezee utani wa maneno aliyoyasema, don't ignore maneno ya Kikwete again I'm paraphrasing "...ana lake jambo.... anataka kuninyima nini" , I don't understand the joke au wazee kuna vitu wananyimwa?lol

Kuhusu Kinana kwa comment yako tuko pamoja, until uliposema sio kama undervalued, and again that a political spin.. yeye Rais aliwahi kumsifu kinana until baada ya kauli ya Mstaafu..? Na kumbuka kauli ya Kinana wakati Rais wa sasa anachukua hatamu, alipoitoa kwenye kigoda cha kikao cha Nyerere kila mwaka, Just thinkings..

Na jengine kuhusiana na Wazee, I don't agree or disagree with what you imply kwa kauli ya Kikwete, I have another opinion, ambayo nimeisemea bado hujaijibu, chama hujengwa na utekelezaji wa sera na sio kuwa kiwe defended na wastaafu? Unaweza kuniletea mifano ya nchi za watu, lkn if you dare go that level, then kuna mengi ya kuongea na kigoda kitakua kidogo hichi..

Natanguliza shukran Mkuu !
 
Mkuu majibu yako, somehow ni kama yamejaa political spin, and I respect that, lkn kuweza kuelewa ninachokiongelea is beyond the realm ya kile kinachoongelewa, na hujajibu au kuelezea in full, considering the historical context ya ninachokiongelea and that's where I drew my assumptions or hypothesis if you like...

Kumwambia kama utani au mashara, mimi naelewa hio part, lakini tamko lake yeye Mstaafu na matamko yake mtawala wa sasa juu ya utawala wa kikwete hayashahabiani ktk maswala ya kiutani, mathalani Rais alipomwambia maneno fulani wakati wa kikao cha majaji na mahakimu pale jukwaani, yalimtoka kama utani ambao aliyaweka kama utani, lkn it was a serious issue he(Rais ) meant serious, na kikwete alikua embarrassed in front ya kadamnasi,

Sasa kwako naomba unielezee utani wa maneno aliyoyasema, don't ignore maneno ya Kikwete again I'm paraphrasing "...ana lake jambo.... anataka kuninyima nini" , I don't understand the joke au wazee kuna vitu wananyimwa?lol

Kuhusu Kinana kwa comment yako tuko pamoja, until uliposema sio kama undervalued, and again that a political spin.. yeye Rais aliwahi kumsifu kinana until baada ya kauli ya Mstaafu..? Na kumbuka kauli ya Kinana wakati Rais wa sasa anachukua hatamu, alipoitoa kwenye kigoda cha kikao cha Nyerere kila mwaka, Just thinkings..

Na jengine kuhusiana na Wazee, I don't agree or disagree with what you imply kwa kauli ya Kikwete, I have another opinion, ambayo nimeisemea bado hujaijibu, chama hujengwa na utekelezaji wa sera na sio kuwa kiwe defended na wastaafu? Unaweza kuniletea mifano ya nchi za watu, lkn if you dare go that level, then kuna mengi ya kuongea na kigoda kitakua kidogo hichi..

Natanguliza shukran Mkuu !
Hivi huwezi kuandika lugha moja ukaeleweka vizuri? Unaandika mambo mazuri lakini inakera kusoma mara kingereza mara kiswahili, hv ni usomi gani huu, kama kingereza andika kingereza hivyo hivyo na kiswahili, nadhani utakuwa unatokea BK. Taabu sana
 
Acheni kabisa, Hakuna alichokusudia huyo Mkwere wenu, yaan hakuna na hakipo, huyo ndivyo alivyo, ndiyo maana baada ya kuongea maneno yale makofi kutoka kwa wajumbe yalipungua sana tofauti na mwanzo ambapo wajumbe walimshangilia sana, lakini baada ya kugundua kuwa na yeye ni yale yale, wajumbe wakapunguza kumpigia makofi.

La Muhimu hapa, kila mtu ajiandae kuisoma namba vizuri Zaidi kwa kunyamazishwa, alianzia Serikalini kwa mawaziri kuwanyamazisha na kuwatia uoga sasa wapo kimya, ameingia Bungeni sasa wapo kimya, akaingia kwa wanaharakati kimya, sasa ameingia kwa mawakili kupitia kwa TLS na wao watanyamazishwa.

Tulieni tu, tuulipenda wenyewe.
 
Hivi Kikwete, aliposema Magufuli kutwa kumuita yeye I'm only paraphrasing "mzee mzee..anataka kuninyima nini.. Na kumalizia huyu ana lake jambo ", nilimuona jinsi gani alivyoudhika na maneno yale, Na hatma yake akayarudia tena jukwaani from a very private conversation between the two, kama tulivyosikia, je alikusudia nini hasa?, kwa hisia zangu amejaribu to expose the hypocrisy of the man himself or what exactly?

Je kikwete alipoinuka na kuweka sawa juu ya nini msingi MKUBWA uliopelekea mapendekezo yake, to reform the party, because of expanding COST na kukosekana kwa mapato ya chama, alikusudia nini ? Contrary to what was said by Mwenyekiti, his message was more antagonising the members... not well received..

Na je Kikwete, alifikiria nini hasa, alipomtaja katibu Mkuu Kinana aliyekuja na mkakati wa ushindi wa chaguzi zilizopita na ya kwake, je alihisi kama Kinana yuko undervalued under this administration?


Na jengine Kikwete kuwekwa wazi, aitwe wakati wa uchaguzi tu!, kuja kutetea chama, amekusudia nini kwa kusema hili? Je ameona uongozi chini ya Rais hauko imara kiasi ya kwamba, wanavuruga ikifika uchaguzi, waingie wazee waweke sawa? Mimi nilifikiri sera na utekelezaji wa sera ndio unakiuza chama? Was I wrong? Or my curiosity is on que or am I thinking beyond the realm of my thoughts?

What's your thoughts?
Labda mimi nikuelezee moja: hilo la utani wa kusema ''unaniita mzee unataka kuninyima nini''. Huu msemo hutumika sana hasa na watu wa pwani. Mara nyingi uzee huambatana na upunguaji wa majukumu mbali mbali, upunguaji wa ''active live'', upunguaji wa starehe etc. Hivyo basi jamii yetu inategemea mzee awe ni mtu anayestahili kupewa muda wa kupumzika, asishiriki kwenye starehe na mambo mengi yanayoendana na harakati za ujana. Lakini bahati mbaya ni kuwa mambo mengi mazuri na starehe hufanywa na kundi la viajana. This means mtu akikuita mzee anakuwa kama anakuamrisha ujitoe kwenye maisha na vikombwelezo vyote vilivyo kwenye kundi la ujana. Wewe huoni ni kama ''anawekea mizwengwe'' flani hivi i.e. anakunyima kitu?
 
Hivi Kikwete, aliposema Magufuli kutwa kumuita yeye I'm only paraphrasing "mzee mzee..anataka kuninyima nini.. Na kumalizia huyu ana lake jambo ", nilimuona jinsi gani alivyoudhika na maneno yale, Na hatma yake akayarudia tena jukwaani from a very private conversation between the two, kama tulivyosikia, je alikusudia nini hasa?, kwa hisia zangu amejaribu to expose the hypocrisy of the man himself or what exactly?

Je kikwete alipoinuka na kuweka sawa juu ya nini msingi MKUBWA uliopelekea mapendekezo yake, to reform the party, because of expanding COST na kukosekana kwa mapato ya chama, alikusudia nini ? Contrary to what was said by Mwenyekiti, his message was more antagonising the members... not well received..

Na je Kikwete, alifikiria nini hasa, alipomtaja katibu Mkuu Kinana aliyekuja na mkakati wa ushindi wa chaguzi zilizopita na ya kwake, je alihisi kama Kinana yuko undervalued under this administration?


Na jengine Kikwete kuwekwa wazi, aitwe wakati wa uchaguzi tu!, kuja kutetea chama, amekusudia nini kwa kusema hili? Je ameona uongozi chini ya Rais hauko imara kiasi ya kwamba, wanavuruga ikifika uchaguzi, waingie wazee waweke sawa? Mimi nilifikiri sera na utekelezaji wa sera ndio unakiuza chama? Was I wrong? Or my curiosity is on que or am I thinking beyond the realm of my thoughts?

What's your thoughts?
Mbona unahangaika kupata maana ya wazungumzaji wa vikao vya CCM? Unaamini walitumia akili saaana ili kutunga au kuchagua maneno ya kuzungumza? NO! Wenzako wanajisemea tu ili kupigiwa makofi.
 
Andrew Mushi kuna binti unamtafuta hapa JF? kwanini utumie Kiingereza kigumu hivyo kama hutaki kujionesha kwa mademu kuwa unakijua Ki malkia?

On light note!

Mkuu acha visa, kama kutafuta mchumba ningekua kama le Mutuz kule insta.

Salam Mkuu Le Mutuz! Akili kubwa naelewa ni biashara tu!, lol

Mtu mzima visa yule... ha ha
 
Subiri JPM atafute jukwaa la kukujibu hakawii mana pia anasoma jamiiforum
 
Hivi Kikwete, aliposema Magufuli kutwa kumuita yeye I'm only paraphrasing "mzee mzee..anataka kuninyima nini.. Na kumalizia huyu ana lake jambo ", nilimuona jinsi gani alivyoudhika na maneno yale, Na hatma yake akayarudia tena jukwaani from a very private conversation between the two, kama tulivyosikia, je alikusudia nini hasa?, kwa hisia zangu amejaribu to expose the hypocrisy of the man himself or what exactly?

Je kikwete alipoinuka na kuweka sawa juu ya nini msingi MKUBWA uliopelekea mapendekezo yake, to reform the party, because of expanding COST na kukosekana kwa mapato ya chama, alikusudia nini ? Contrary to what was said by Mwenyekiti, his message was more antagonising the members... not well received..

Na je Kikwete, alifikiria nini hasa, alipomtaja katibu Mkuu Kinana aliyekuja na mkakati wa ushindi wa chaguzi zilizopita na ya kwake, je alihisi kama Kinana yuko undervalued under this administration?


Na jengine Kikwete kuwekwa wazi, aitwe wakati wa uchaguzi tu!, kuja kutetea chama, amekusudia nini kwa kusema hili? Je ameona uongozi chini ya Rais hauko imara kiasi ya kwamba, wanavuruga ikifika uchaguzi, waingie wazee waweke sawa? Mimi nilifikiri sera na utekelezaji wa sera ndio unakiuza chama? Was I wrong? Or my curiosity is on que or am I thinking beyond the realm of my thoughts?

What's your thoughts?
INAWEZEKANA KABISA UKAWA NA HOJA NA MALENGO MAZURI KABISA KWA KULETA UZI HUU, LAKINI UWASILISHAJI NA HASA ULIPOAMUA KWA MAKUSUDI KUTUMIA KISWANGLISH NIKAISHIA AYA YA TATU TUU.
MAMBO MAWILI NI (1) NINA UHAKIKA WEWE NI MTANZANIA HIVYO UNAJUA KISWAHILI (2) KIINGEREZA NI LUGHA ULIYOJIFUNZA SHULENI.
SASA SWALI LANGU NI HILI HIVI KWA AKILI YAKO , KISWAHILI NA KIINGEREZA NI LUGHA GANI UNAYOIFAHAMU KIUFASAHA ZAIDI KULIKO NYENGINE? PILI, HUONI KWA KUTUMIA KISWANGLISH UNADHIHIRISHA UKILAZA WAKO WA KUKARIRI LUGHA ZA WATU PASINA KUELEWA TAFSIRI YAKE KWA LUGHA YAKO MAMA YA KISWAHILI?
 
Labda mimi nikuelezee moja: hilo la utani wa kusema ''unaniita mzee unataka kuninyima nini''. Huu msemo hutumika sana hasa na watu wa pwani. Mara nyingi uzee huambatana na upunguaji wa majukumu mbali mbali, upunguaji wa ''active live'', upunguaji wa starehe etc. Hivyo basi jamii yetu inategemea mzee awe ni mtu anayestahili kupewa muda wa kupumzika, asishiriki kwenye starehe na mambo mengi yanayoendana na harakati za ujana. Lakini bahati mbaya ni kuwa mambo mengi mazuri na starehe hufanywa na kundi la viajana. This means mtu akikuita mzee anakuwa kama anakuamrisha ujitoe kwenye maisha na vikombwelezo vyote vilivyo kwenye kundi la ujana. Wewe huoni ni kama ''anawekea mizwengwe'' flani hivi i.e. anakunyima kitu?

On light note!

Nimekupata Mkuu je hili nalo limo?, kwa hio safari za kuruka ruka apunguze, wajua mambo ya urubani can be really addictive,

Yanahitajia muda kuondokana nayo, na naelewa wazee na sub zero gravity, yana athari kubwa kwao, damu ya mzee yataka ground zero most of the time...

Lakini hata hivyo mimi kwa muono wangu namtoa ktk uzee ,Kikwete si Mzee kiivyo yeye yuko kati kwa kati.. tumuachie apumzike, he is the only sense of engagement btn us na ushirikiano wa kimataifa, and he is doing a fantastic job on the current role,

Anhaa, nimepata idea kwa nini isipitishwe sheria bungeni, ya kumuwezesha akawa na kuchukua role as diplomatic in international relation, yaani tuweze kuitambua hii role officially,

Rais mstaafu anakua kama a go btn us and the rest of the world na Rais wetu wa sasa akadili na mambo ya domestic affairs na East African community.. Na wananchi wanapata faida mara dufu...

Au unaonaje Mkuu?
 
On light note!

Nimekupata Mkuu je hili nalo limo?, kwa hio safari za kuruka ruka apunguze, wajua mambo ya urubani can be really addictive,

Yanahitajia muda kuondokana nayo, na naelewa wazee na sub zero gravity, yana athari kubwa kwao, damu ya mzee yataka ground zero most of the time...

Lakini hata hivyo mimi kwa muono wangu namtoa ktk uzee ,Kikwete si Mzee kiivyo yeye yuko kati kwa kati.. tumuachie apumzike, he is the only sense of engagement btn us na ushirikiano wa kimataifa, and he is doing a fantastic job on the current role,

Anhaa, nimepata idea kwa nini isipitishwe sheria bungeni, ya kumuwezesha akawa na kuchukua role as diplomatic in international relation, yaani tuweze kuitambua hii role officially,

Rais mstaafu anakua kama a go btn us and the rest of the world na Rais wetu wa sasa akadili na mambo ya domestic affairs na East African community.. Na wananchi wanapata faida mara dufu...

Au unaonaje Mkuu?
Mkuu nimekupata. Unajua hakuna mtu anayetaka kuitwa ''mzee''. Hata mimi kusema kweli hiyo tabia siipendi. Hiyo siyo mila nzuri japo ni yetu waafrika. Mimi ningefurahi zaidi kama angemwita rais mstaafu! Mambo ya kuitana mzee ni ya kale na ushamba ati! Unafanya hata vimwana wananiogopa bwana!
 
Mkuu majibu yako, somehow ni kama yamejaa political spin, and I respect that, lkn kuweza kuelewa ninachokiongelea is beyond the realm ya kile kinachoongelewa, na hujajibu au kuelezea in full, considering the historical context ya ninachokiongelea and that's where I drew my assumptions or hypothesis if you like...

Kumwambia kama utani au mashara, mimi naelewa hio part, lakini tamko lake yeye Mstaafu na matamko yake mtawala wa sasa juu ya utawala wa kikwete hayashahabiani ktk maswala ya kiutani, mathalani Rais alipomwambia maneno fulani wakati wa kikao cha majaji na mahakimu pale jukwaani, yalimtoka kama utani ambao aliyaweka kama utani, lkn it was a serious issue he(Rais ) meant serious, na kikwete alikua embarrassed in front ya kadamnasi,

Sasa kwako naomba unielezee utani wa maneno aliyoyasema, don't ignore maneno ya Kikwete again I'm paraphrasing "...ana lake jambo.... anataka kuninyima nini" , I don't understand the joke au wazee kuna vitu wananyimwa?lol

Kuhusu Kinana kwa comment yako tuko pamoja, until uliposema sio kama undervalued, and again that a political spin.. yeye Rais aliwahi kumsifu kinana until baada ya kauli ya Mstaafu..? Na kumbuka kauli ya Kinana wakati Rais wa sasa anachukua hatamu, alipoitoa kwenye kigoda cha kikao cha Nyerere kila mwaka, Just thinkings..

Na jengine kuhusiana na Wazee, I don't agree or disagree with what you imply kwa kauli ya Kikwete, I have another opinion, ambayo nimeisemea bado hujaijibu, chama hujengwa na utekelezaji wa sera na sio kuwa kiwe defended na wastaafu? Unaweza kuniletea mifano ya nchi za watu, lkn if you dare go that level, then kuna mengi ya kuongea na kigoda kitakua kidogo hichi..

Natanguliza shukran Mkuu !
Kuongozi,usiumize kichwa na haya makada masaka vyeo,yanafungia akili na usomi wao kwa kujipendekeza.

Ili ujue hatumii akili,hajaelewa wa kuisoma akili yako kwa narration zako.

Pia,alikuwa anaangalia tv lakin hakuwa anafuatilia body language ya wazungimzaji na kulinganisha na hotuba zao.

Kikwete alikuwa totally exhausted,though aliweka tabasamu usoni.

In short,kikwete hakupenda kuitwa mzee,alijua jamaa alimwita kwa kumkebehi kama kawaida yake.

Kikwete alisema msitusumbue akimaanisha yeye na mwinyi,jiulizeni mkapa alikuwepo?
Hivo ni kwamba mmelikoroga mlinywe.

Kikwete hakupenda katiba kubadilishwa,inaashiria ukandamizaji.

Kinana hana jinsi,ilibidi kukubaliana nao,licha ya kuwa anajua anachokitengeneza hakina tija zaidi ya kuvuruga lichana.kwan si alisha taka kujiuzulu akakataliwa,atakuwaje na sauti?

Kikwete ana hasira ila anabusara
 
hivi hamna vitu vya kujadili hata maneno ya mtu mnataka watu wajadili? ovyo kabisa
 
Back
Top Bottom