Sasa si umshauri Tanzania ijitoe UN!! Mabalozi na wasaidizi wa Rais waende kufanya nini kwenye chombo kisicho na tija kwa Tanzania?Siamini kama UN General Assembly kama ni muarobaini wa mahitaji ama matatizo uliyoolozesha.
UN haina meno,wenye meno ni mataifa makubwa machache tajiri.nchi kama zetu bila juhudi binafsi hazitasonga mbele,ni kazi za wasaidizi wa rais kuyafanya hayo usemayo,wakiwemo mabalozi
Sasa si mkubwa anasema anapambana na mabeberu? Aende kutumia hiyo platform kusema hayo unayoyasema ili dunia itambue msimamo wa sasa wa Tanzania. Na alisemee pia hilo la UN kutokuwa na faida kwa Waafrika.UN siku hizi kuna machine ya kutasfiri hata uongee lugha gani
swali ni UN assembly since when imekuwa na faida kwa waafrika? main agenda kule ni nini? ni kuleta maji Tandika na Tandale?
Un assembly iko for global issues ambazo zinajulikana within a minutes
Kwa hiyo Rocket man ndiyo idol wake?Mambo mengine tusilazimishe Sana hata Kim Jong wa Korea haendagi Sana sasa wewe unawashwa na nini kutaka was kwetu aende Kila Mara. Tulizana wao Kama wanatuhitaji Sana watakuja nyumbani Tanzania.
Au unataka kupindua nchi akienda?
Mambo mengine nyamaza tu.
Sasa si mkubwa anasema anapambana na mabeberu? Aende kutumia hiyo platform kusema hayo unayoyasema ili dunia itambue msimamo wa sasa wa Tanzania. Na alisemee pia hilo la UN kutokuwa na faida kwa Waafrika.
Aende ake-speak against the power kwenye masikio yao.
UNGA ni mahali pa kupiga soga tu maamuzi yanafanyika SC hivyo kwenda nikupoteza muda na radilimali, tuna balozi mkazi kule atatuwakilishaKikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada
Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.
Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.
Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.
Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.
Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.
Je safari hii itaenda?
UNGA ni mahali pa kupiga soga tu maamuzi yanafanyika SC hivyo kwenda nikupoteza muda na radilimali, tuna balozi mkazi kule atatuwakilisha
Nenda foreign affairs ukaulizeSasa kwa nini tunapoteza pesa kupeleka delegations huko kama vile makamu wa rais etc?
Aisee! Sawa kwa kujitoa ufahamu.acha umaskini
no need of UN bana
au asipoenda wanamfanya nini?
Ni bora asiende, akienda atafika salama kabisa, ila wakati wa kurudi ndege atakayopanda ikifika usawa wa Bahari ya Atlantic itapotea jumla Kama ile ya Malaysia.Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada
Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.
Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.
Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.
Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.
Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.
Je safari hii itaenda?
Yes na aende akashawishi kiswahili kiwe lugha ya UN. Lakini akiambiwa ateme mayai atatema majongoo ya zey ze cataryist is thamsing zat! Laana ya Ben 8hours inamtafuna!!Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada
Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.
Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.
Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.
Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.
Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.
Je safari hii itaenda?
Tofauti ni kwamba huyo mtu mmoja sio kama wewe a "non entity"; the art of communication, articulation na delivery are critical issues on the global stage if you want anyone who matters to notice and you to be heard and to be taken seriously;Ndio usomi wetu ulipofika ukomo. Kuongea kiingereza, hata kama unachoongea ni shit tupu. Nchi yetu ni Zaidi ya mtu mmoja ambaye tunapenda kuona kama ndio sababu ya kila tatizo letu. Matatizo yetu hayapo mbali na sisi. yapo ndani ya kila mmoja wetu kwa nafasi yake. Unless tunayaanza hayo, kiingereza tutaongea lakini hakitupi status yoyote popote pale.
Hizi kelele ambazo ndani ni empty, hazimzuii tembo kunywa maji. Tuwe strategic
Eeeh! Kuna aliyekitaja kingereza hapa? Nimesema jiwe hajui lugha yoyote ya duniani huko. Iwe kichina, kirusi, kingereza, kijermani, kihispania ama kiyunani. Hajui.!!
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada
Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.
Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.
Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.
Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.
Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.
Je safari hii itaenda?
Ataenda ili akipiganie Swahili iwe lugha rasmi ktk vikao vya UNWhat if akaenda yeye mwenyewe?
Vyandarua hujui kama vimezuia vifo vya wakina mama wajawazito maelfu kwa maelfuNdio kitu mnachokumbuka na kupigania kirudi tena. Zile safari za kila mwezi za Ulaya na Marekani. Kuhudhuria kuanzia mkutano wa kunguni, nzi, mbu na hata viroboto. Mnaweza kutuonyesha kitu gani kikubwa kilifanyika mpaka muanze kutuaminisha kwamba bila kwenda huko kwenye hiyo mikutano tunakosa kitu kikubwa?
Exposure mkuuEeeh! Kuna aliyekitaja kingereza hapa? Nimesema jiwe hajui lugha yoyote ya duniani huko. Iwe kichina, kirusi, kingereza, kijermani, kihispania ama kiyunani. Hajui.!!
Kabisa aisee! Itapendeza Sana!Nashauri tutume mwakilishi
Vyandarua hujui kama vimezuia vifo vya wakina mama wajawazito maelfu kwa maelfu
Asante sana mkuu kwa kunisaidia kuwaelewesha hawa lumumba buku7Hata kiswahili hajui pia nini lugha za duniani?