Kwa ufaulu huo mi nakushauri achana na pcb labda jaribu cbg, physics ya advanced level ni hatari sana . Wenzako tulikomaa na pcb lakini chuo tunasoma kozi moja na cbg . Physics inaua ndoto za watu wengi
nlianza bt kuna wadau wakasema et hawawezi kukuchagua coz ya D ya phyz na serikali hii et wanasema watanipeleka HKL wakat siipendi hata kdogo na sikuichagua hata.
Kwa ufaulu huo mi nakushauri achana na pcb labda jaribu cbg, physics ya advanced level ni hatari sana . Wenzako tulikomaa na pcb lakini chuo tunasoma kozi moja na cbg . Physics inaua ndoto za watu wengi
nlianza bt kuna wadau wakasema et hawawezi kukuchagua coz ya D ya phyz na serikali hii et wanasema watanipeleka HKL wakat siipendi hata kdogo na sikuichagua hata.
Kwa ufaulu huo mi nakushauri achana na pcb labda jaribu cbg, physics ya advanced level ni hatari sana . Wenzako tulikomaa na pcb lakini chuo tunasoma kozi moja na cbg . Physics inaua ndoto za watu wengi