PostGE2025 Je, nini sababu hasa iliyomfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuwaweka kando baadhi ya mawaziri waliokuwa kwenye baraza la awamu iliyopita?

PostGE2025 Je, nini sababu hasa iliyomfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuwaweka kando baadhi ya mawaziri waliokuwa kwenye baraza la awamu iliyopita?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Home tutor Dar

Senior Member
Joined
Feb 23, 2025
Posts
114
Reaction score
139
Watu mbalimbali wamekuwa wakijiuliza, ni kwa nini baadhi ya mawaziri maarufu na waliotarajiwa wamewekwa pembeni katika uteuzi wa Baraza jipya la Mawaziri? Je, ni kushindwa kutimiza majukumu yao? Ni mabadiliko ya kimkakati? Au ni nafasi ya kuwapa wengine fursa?

Mawaziri walioachwa kando awamu hii ni pamoja na:
1. Hussein Bashe – aliyekuwa Waziri wa Kilimo
2. Innocent Bashungwa – aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani
3. Damas Ndumbaro – aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria
4. Jenista Mhagama – aliyewahi kuwa Waziri wa Afya
5. Pindi Chana – aliyekuwa Waziri wa Maliasili
6. Selemani Jafo – aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara
7. Doto Biteko – aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Soma pia PostGE2025 - Rais Samia atangaza Baraza la Mawaziri na Manaibu waziri

Maswali ya kujiuliza kwa mjadala:
  • Je, ni vigezo gani Rais alitumia kuwapanga upya au kuwaondoa?
  • Je, waliotolewa hawakufanya vizuri?
  • Je, hii ni nafasi kwa kizazi kipya au njia ya kurekebisha mwenendo wa serikali?
  • Una mtazamo gani kuhusu mabadiliko haya?
  • Je, unaamini waliowekwa pembeni wanaweza kurejea tena?

Karibu tujadili kwa uhuru na hoja !
 
Watu mbalimbali wamekuwa wakijiuliza, ni kwa nini baadhi ya mawaziri maarufu na waliotarajiwa wamewekwa pembeni katika uteuzi wa Baraza jipya la Mawaziri? Je, ni kushindwa kutimiza majukumu yao? Ni mabadiliko ya kimkakati? Au ni nafasi ya kuwapa wengine fursa?

Mawaziri walioachwa kando awamu hii ni pamoja na:
1. Hussein Bashe – aliyekuwa Waziri wa Kilimo
2. Innocent Bashungwa – aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani
3. Damas Ndumbaro – aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria
4. Jenista Mhagama – aliyewahi kuwa Waziri wa Afya
5. Pindi Chana – aliyekuwa Waziri wa Maliasili
6. Selemani Jafo – aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara
7. Doto Biteko – aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Maswali ya kujiuliza kwa mjadala:
  • Je, ni vigezo gani Rais alitumia kuwapanga upya au kuwaondoa?
  • Je, waliotolewa hawakufanya vizuri?
  • Je, hii ni nafasi kwa kizazi kipya au njia ya kurekebisha mwenendo wa serikali?
  • Una mtazamo gani kuhusu mabadiliko haya?
  • Je, unaamini waliowekwa pembeni wanaweza kurejea tena?

Karibu tujadili kwa uhuru na hoja !
Mjadala hauna faida. Ukizijua sababu then what? Na unajadili nini kwenye serikali iliyopatikana kimagumashi na kuundwa kimagumashi? Umagumashi unahalalishika?

Hao walioondolewa walikuwa na msaada gani kwako kama Mtanzania wa kawaida? Hawa wapya waliowekwa watakusaidia nini?

Ukitaka sababu halisi nenda kamuulize Samia. Ni rais wako na una haki kumuuliza maswali. Na katiba inamruhusu kuchagua ye yote amtakaye na hakuna wa kuhoji.

By the way; hao saba walioachwa wote ni Watanganyika. Kamuulize pia na hilo kwa nini hajaacha Mzanzibari hata mmoja?

IMG-20251117-WA0082.jpg
 
Akina bashungwa doto biteko walibebwa na vuguvugu la siasa za ukanda. Siasa zimepitwa inabidi wakae kando.

Kwenye afya nadhani ni mkakati wa kucheza na database ya yaliyo tokea baada ya Yale mauaji na itabaki kuwa siri ya familia

NYONGEZA


Kwenye uwaziri wa mambo ya ndani nadhani hata wewe unaweza kujiongeza nani amewekwa na unadhani atafanya kazi Gani pale compared na aliyekuwepo?
 
Mi sitambui serikali ya raisi naona mnajaza server za JF
 
Watu mbalimbali wamekuwa wakijiuliza, ni kwa nini baadhi ya mawaziri maarufu na waliotarajiwa wamewekwa pembeni katika uteuzi wa Baraza jipya la Mawaziri? Je, ni kushindwa kutimiza majukumu yao? Ni mabadiliko ya kimkakati? Au ni nafasi ya kuwapa wengine fursa?

Mawaziri walioachwa kando awamu hii ni pamoja na:
1. Hussein Bashe – aliyekuwa Waziri wa Kilimo
2. Innocent Bashungwa – aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani
3. Damas Ndumbaro – aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria
4. Jenista Mhagama – aliyewahi kuwa Waziri wa Afya
5. Pindi Chana – aliyekuwa Waziri wa Maliasili
6. Selemani Jafo – aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara
7. Doto Biteko – aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Soma pia PostGE2025 - Rais Samia atangaza Baraza la Mawaziri na Manaibu waziri

Maswali ya kujiuliza kwa mjadala:
  • Je, ni vigezo gani Rais alitumia kuwapanga upya au kuwaondoa?
  • Je, waliotolewa hawakufanya vizuri?
  • Je, hii ni nafasi kwa kizazi kipya au njia ya kurekebisha mwenendo wa serikali?
  • Una mtazamo gani kuhusu mabadiliko haya?
  • Je, unaamini waliowekwa pembeni wanaweza kurejea tena?

Karibu tujadili kwa uhuru na hoja !
Mbio za Uraisi 2030 .Ukizingatia Nchimbi na Mwigulu wanautaka Urais.So wameamua kuzima majina makubwa makubwa.Ila Nchimbi njia nyeupe kama Samia akifa kabla ya 2030.
 
Damas Ndumbaro si ndio huyu shareholder wa madungu toka uk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom