Nina rafiki yangu wa kiume ambaye tunapendana sana, ila ana ana manbo ambayo simuelewe ndugu yenu. Mkitofautiana tu kidogo kwa hali ya ubinadamu, ukimpigia simu hapokei, ukimtumia sms hajibu anakaa kimya. Sasa ajabu ameniwekea masharti ya kuwasiliana naye nayo ni sms kwa siku basi. Nimueleweje?