kamanda wa anga
Member
- Apr 7, 2012
- 47
- 55
Je? nimkubalie?
he!....ukatae kwa nini.....? mwambie aje.....mwenyewe ndio kakuambia halafu ukatae.....unanshangaza......
he!....ukatae kwa nini.....? mwambie aje.....mwenyewe ndio kakuambia halafu ukatae.....unanshangaza......
Achana naye kwanza hana adabu, vipi aje kulala kwako wakati rafiki yake hayupo.
Mwanamke kama huyo simsogelee kabisa mana hana amani :biggrin:
mwambie aje na box la DUME!!watu wengine bana sijui unataka upate zali gani ndo ufurahi lol
he!....ukatae kwa nini.....? mwambie aje.....mwenyewe ndio kakuambia halafu ukatae.....unanshangaza......
mwambie aje na box la DUME!!watu wengine bana sijui unataka upate zali gani ndo ufurahi lol
Hi, wanaJf!
Ninaomba ushauri wenu wa haraka. Kuna demu ni mtu wa karibu sana na mpenzi wangu. Jana akaniita sehemu na kuniomba leo aje alale kwangu maana anajua mpenzi wangu amesafiri kikazi!
J? nimkubalie?
he!....ukatae kwa nini.....? mwambie aje.....mwenyewe ndio kakuambia halafu ukatae.....unanshangaza......