4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,301
- 12,952
Wakuu salamu , na poleni na tunayopitia kama wananchi watanzania ,Mungu yupo kazini.
Husika na mada tajwa juu ,
Moja kabla ya yoyote ikumbukwe watz wengi tupo kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na wapendwa zetu.
Ila binafsi nionavyo mpaka sasa mambo yajayo sio mepesi tusidanganyane hapa, machungu bado makubwa ,wala watawala wasijidanganye kwamba wataweza pambana na hasira ya wananchi pale watakapochokozwa hata kama wanasema yatakuepo Maandamano 9D ya amani , elewa mtu akisha umwa na nyoka ,
Sasa ni swali langu
je ni wakati wa NATO kuja kulinda amani ya Watanzania?
Kama ambavyo NATO imekua ikifanya kwenye Mataifa Mbali mbali?
Na je utaratibu wa Kuingia Taifa flani ili kulinda amani upo vipi,?
Na Tanzania kama Taifa sio candidate wa hili, ukifikili kilichotokea kwa wananchi 29Oct na sasa inaelekea 9D?
Thanks
Husika na mada tajwa juu ,
Moja kabla ya yoyote ikumbukwe watz wengi tupo kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na wapendwa zetu.
Ila binafsi nionavyo mpaka sasa mambo yajayo sio mepesi tusidanganyane hapa, machungu bado makubwa ,wala watawala wasijidanganye kwamba wataweza pambana na hasira ya wananchi pale watakapochokozwa hata kama wanasema yatakuepo Maandamano 9D ya amani , elewa mtu akisha umwa na nyoka ,
Sasa ni swali langu
je ni wakati wa NATO kuja kulinda amani ya Watanzania?
Kama ambavyo NATO imekua ikifanya kwenye Mataifa Mbali mbali?
Na je utaratibu wa Kuingia Taifa flani ili kulinda amani upo vipi,?
Na Tanzania kama Taifa sio candidate wa hili, ukifikili kilichotokea kwa wananchi 29Oct na sasa inaelekea 9D?
Thanks