Je, nifanye nini?

Je, nifanye nini?

Muumba aliumba ile sehemu kwa kupitisha mavi na kujamba wewe unamsahihisha! Ukishajiuliza hivyo na kutafakari kwa makini "utaacha "
 
Ninafikiri Addiction yako inawezekana kabisa kuacha na kirahisi.

1. Kaa mbali na hao rafik zako wa kwenye huo mtandano. Ikiwezekana badili namba

2. Kuwa busy na Hobbies nyingine ukipata free time yako.

3. Muombe Mungu wako msamaha upate peace of Mind na upate Strong mindset ya kukataa hayo mambo tena.

Na kila addiction ina stages kwenye kujaribu kuacha.
Najua utajaribu na kurudia , utafanya tena na tena na utashindwa ila hilo lisikukatishe tamaa.

keep going kwasababu ipo siku utajaribu kuacha na utaweza.
 
Muumba aliumba ile sehemu kwa kupitisha mavi na kujamba wewe unamsahihisha! Ukishajiuliza hivyo na kutafakari kwa makini "utaacha "

Yes najua ndo maana najishangaa mimi na nafsi yangu kwann nimekuwa mfuasi wa ufuska...Any ways Mungu yupo na atanisaidia
 
Wewe nadhan hio tabia huwezi achaa, maana unaonekana unapenda uzinifu na pepo la uzinifu unalo kitambo!! .. Hebu rejea uzi wako wa 2019
 
duh , kazi kweli kweli
ulikua Top, uko mbioni(au tayari kabisa) kua bottom
 
Na [mention]cocastic [/mention] hujakutana nae?
 
Kwahiyo..

Mtumia smartphone (Nomophobia) Sana ana = Jina Android
Mtumia pombe ana = Jini TBL
Anaye sex na wanawake sana = Jini papuchi.
Work addiction = Jini high pay..!!!

Hayo ya jini mahaba sijui jini kisirani TUACHE KUAMINI UJINGA.
Na tupunguze kumsingizia shetani dhambi zisizo muhusu.

#YNWA

Dah nimecheka sana
 
Back
Top Bottom