mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Nimekuwa nasikia Adhabu ya kunyongwa ipo hapa Tanzania na inatekelezwa.Swali langu ni je ni taratibu zipi toka mtu amehukumiwa kunyongwa mpaka kumzika?Km.akiisha hukumiwa ananyongwa baada ya muda gani? wapi na nani?Je anazikwa wapi na kina nani,? Je ndugu zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app