Je, Ni sahihi ndege hizi kupewa jina la 'hapa kazi tu'?

Azim Sokoine

JF-Expert Member
Aug 20, 2014
1,379
2,533
Naomba niandike kwa kifupi,

Hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama, je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hizi za uma?
 
Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
 
Prof Mbarawa Mnyaa akili zake zoote za Uprofesa wake zimeishia kwenye slogan ya kitoto hivyo? Kweli ukiwa ndani ccm unaziacha akili na utu wake nje ya mlango wa chama! Wakitoswa huwa akili ndio inarudi!! Sham Prof Mbarawa
 
Prof Mbarawa Mnyaa akili zake zoote za Uprofesa wake zimeishia kwenye slogan ya kitoto hivyo? Kweli ukiwa ndani ccm unaziacha akili na utu wake nje ya mlango wa chama! Wakitoswa huwa akili ndio inarudi!! Sham Prof Mbarawa
Slogan ya kitoto?!?!? Wakati ndio inafanya kazi kwa Sasa! Hebu axcheni ushamba msipozipanda safi sana mko wangapi vile?!?!?! Sisi( wananchi) tutaenjoy na bei ya dezo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…