Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Hukusikiliza hotuba ya Mbalawa jana?Wapi zimeandikwa hapa kazi tu?
Kunakazi kubwa kuliokoa Taifa hilinaomba niandike kwa kifupi,hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama..je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hiz za uma???
Slogan ya kitoto?!?!? Wakati ndio inafanya kazi kwa Sasa! Hebu axcheni ushamba msipozipanda safi sana mko wangapi vile?!?!?! Sisi( wananchi) tutaenjoy na bei ya dezo!Prof Mbarawa Mnyaa akili zake zoote za Uprofesa wake zimeishia kwenye slogan ya kitoto hivyo? Kweli ukiwa ndani ccm unaziacha akili na utu wake nje ya mlango wa chama! Wakitoswa huwa akili ndio inarudi!! Sham Prof Mbarawa