Je ni sahihi magari ya serikali kutokatiwa bima?

kikahe

JF-Expert Member
May 23, 2009
1,350
282
Wadau eti ni kweli magari ya Serikali hayakatiwi BIMA? ndo maana wind screen zinakuwa hazina kitu. Kama ni kweli je ni sahihi?
 
gari za serikali zote zina bina ila hazibandikwe sticker kama ulivyozoea kwa magari mengine. na ndiyo maana kwa madereva wajuzi hata ukiwaomba lift na gari la serikali hawakupi coz wewe huna bima litakapopata ajali wewe utadhurika. ukweli ni kwamba yote yana bima
 
Kwanini hawapewi stickers? Ni kigezo kipi kinatumika kutoa stickers kwa wengine na magari ya serikali yasipewe stickers?
 

nimekukubali kwa kunijuza na mi nsiyejua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…