gari za serikali zote zina bina ila hazibandikwe sticker kama ulivyozoea kwa magari mengine. na ndiyo maana kwa madereva wajuzi hata ukiwaomba lift na gari la serikali hawakupi coz wewe huna bima litakapopata ajali wewe utadhurika. ukweli ni kwamba yote yana bima