Rashford Lingard
JF-Expert Member
- Feb 9, 2018
- 938
- 1,151
Je kuna matatizo yoyote kwa mwanaume kula mboga aina ya mlenda? Naomba kuwasilisha
daaaaaaaaaaah!!!!!!!!!!Hivi ni sahihi kwa mwanaume kula pumbu za mbuzi au ng'ombe tuanzie hapo kwanza
nimekusomaSio kosa,ila tatizo ni pale unapousifia kwamba ugali unashuka tu.mwanaume hafurahishwi na mterezo popote pale.
Hakuna shida..zinaitwa Hashua! Ziko poa sana aisee..Hivi ni sahihi kwa mwanaume kula pumbu za mbuzi au ng'ombe tuanzie hapo kwanza