Kafiwa na mpenzi !? Kakwambia nani ??Kwa mtazamo wangu, sio sawa. Uchungu wa kuondokewa na mpenzi ni mkubwa sana. It pains.
Wasingempiga, wangepiga chepe 30 tu akili ingemkaa sawa
Mpenzi maana yake mpendwa,Dada,kaka, babu ,bibi ,mama na baba hawa ni wapenzi wetu mkuu.Kafiwa na mpenzi !? Kakwambia nani ??
Wakimweka huko wafukie udigmngo uanze kumfikia usawa wa kiuno muone kama hajalia kuomba kuokolewa