Wana jamvi habri zenu,
Mwenzenu nimeoa Mimi ni kifunga mimba kwahiyo Niko na Kaka zangu. Kuna Kaka yangu mmoja huwa ni afisa wa usalama kwahiyo kulingana nawao walivyo anaweza kukupigia simu anytime nakuanza kukugombeza haijarishi ni kitu kidogo au kikubwa, nimekuwa hivi kwa mda mrefu mwishowe nikaona huu ni upuuzi yaani maisha yangu harafu watu wawe wananigombeza au kunikejeri mbele ya mkewangu au akiwa anasikia.. kiukweli Mimi ni mtu nisiyependa maneno sipendagi kuongea sana. Sasa nimeanza kuwa mkali make naona nidhamu yangu kwakila mtu inaleta ukakasi kwenye nyumba yangu.
Nimeanza kubadirika Sana iwe mzazi akionekana kunigombeza Kama ni Jambo halina mashiko nakata simu Kisha nampigia baadae au anaongea Mimi siongee naitikia tu
Sasa watu walionizoea kuwa munyenyekevu kwao baada ya kuanza kuwa mkali wameanza kusema kuwa nimepata hela ooh nimeanza kuwa na kiburi oooh masikini akipata yaani maneno mengi kedekede.
Hebu tushauriane hivi vitu kama hivi vya kugombezwa kwenye simu na ndugu zako wao wapo na wake zao mda huo wanasikia unagombezwa na wewe na mkewako anasikia je ukikaidi utaonekana wewe sio?
Je, ufanye je kuishi na ndg wa dizaini hii au majirani?
Mwenzenu nimeoa Mimi ni kifunga mimba kwahiyo Niko na Kaka zangu. Kuna Kaka yangu mmoja huwa ni afisa wa usalama kwahiyo kulingana nawao walivyo anaweza kukupigia simu anytime nakuanza kukugombeza haijarishi ni kitu kidogo au kikubwa, nimekuwa hivi kwa mda mrefu mwishowe nikaona huu ni upuuzi yaani maisha yangu harafu watu wawe wananigombeza au kunikejeri mbele ya mkewangu au akiwa anasikia.. kiukweli Mimi ni mtu nisiyependa maneno sipendagi kuongea sana. Sasa nimeanza kuwa mkali make naona nidhamu yangu kwakila mtu inaleta ukakasi kwenye nyumba yangu.
Nimeanza kubadirika Sana iwe mzazi akionekana kunigombeza Kama ni Jambo halina mashiko nakata simu Kisha nampigia baadae au anaongea Mimi siongee naitikia tu
Sasa watu walionizoea kuwa munyenyekevu kwao baada ya kuanza kuwa mkali wameanza kusema kuwa nimepata hela ooh nimeanza kuwa na kiburi oooh masikini akipata yaani maneno mengi kedekede.
Hebu tushauriane hivi vitu kama hivi vya kugombezwa kwenye simu na ndugu zako wao wapo na wake zao mda huo wanasikia unagombezwa na wewe na mkewako anasikia je ukikaidi utaonekana wewe sio?
Je, ufanye je kuishi na ndg wa dizaini hii au majirani?