Je ni marafiki au wapambe nuksi?

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,832
Siku za nyuma niliajiriwa na benki moja ya biashara hapa mjini nikiwa idara ya mikopo. Thanks God, vijisenti vya kutumia vikawa havinipigi chenga. Nikapata marafiki kedekede, wake, waume, watoto na hata wazee.

Ikatokea bahati mbaya, nikapata matatizo kazini, marafiki wote wakakimbia. Hata nikiwapigia simu kuna ambao walikuwa hawapokei kabisa simu zangu, nabaadhi wakipokea walikuwa wanasema , ngoja kidogo ntakuigia, na wasipige tena.
Sasa nafanya kazi shirika moja la UN, ninaishi nyumba nzuri, nina gari zuri..... Yaani Mungu amenifungulia milango.
Marafiki wa zamani ndio wanajidai kunipia, na kuniomba tukutane.
Nikikomenti chochote kwenye FB, wanashadadia kwa nguvu zote.
Kila commenty yangu ina pambwa na like kibao.
Jamani wana JF wenzangu, jifunzeni namna ya kutafuta marafiki bora, na si bora marafiki.
 
Dada, sio king'aacho ni dhahabu. Vingine ni bosheni tu. Hao marafiki ni wa kuwaogopa kama ukoma. Fanya urafiki na ibada nawe utaona nguvu za muumba wako.
 
Siku za nyuma niliajiriwa na benki moja ya biashara hapa mjini nikiwa idara ya mikopo. Thanks God, vijisenti vya kutumia vikawa havinipigi chenga. Nikapata marafiki kedekede, wake, waume, watoto na hata wazee.

Ikatokea bahati mbaya, nikapata matatizo kazini, marafiki wote wakakimbia. Hata nikiwapigia simu kuna ambao walikuwa hawapokei kabisa simu zangu, nabaadhi wakipokea walikuwa wanasema , ngoja kidogo ntakuigia, na wasipige tena.
Sasa nafanya kazi shirika moja la UN, ninaishi nyumba nzuri, nina gari zuri..... Yaani Mungu amenifungulia milango.
Marafiki wa zamani ndio wanajidai kunipia, na kuniomba tukutane.
Nikikomenti chochote kwenye FB, wanashadadia kwa nguvu zote.
Kila commenty yangu ina pambwa na like kibao.
Jamani wana JF wenzangu, jifunzeni namna ya kutafuta marafiki bora, na si bora marafiki.



Ha ha ha ha ha,Yaani Nazjaz umezungumza katika Mawazo yangu Mkuu!! Niliwahi kuajiriwa Airtel,nilikuwa na wallet nene,nikawa na wanaoitwa marafiki kedekede,nilitoka Airtel mwaka jana mwezi wa sita ili kujiajiri,mambo hayakuniendea Vizuri nimeyumba sana!!

Sasa hivi ndiyo naanza kujikusanya adoado,"Marafiki" wote walinikimbia,hawataki kusikia kutoka kwangu,waliokaribu yangu ni watu ambao hawakuufaidi Ufalme wangu,how ironic life can be!! "Marafiki" wachache ambao ni wajanja ana-pretend kama anataka kujua unaendeleaje kumbe kimsingi anataka kujua kama Mambo yameanza kukaa sawa,ukitaka kujua kama ni Mnafiki tu mpigie simu the following day HAPOKEI na wala harudishi call yako!!

Hakuna sababu ya kuumia ndugu yangu,cha msingi hapo ni kujifunza somo kwamba kuna "washkaji"(Acquintances) na marafiki(Friends),wengi wetu huwa tuna Washkaji tu,umesoma nae,unasali naye,jirani yako hiyo tu ndiyo sababu ya Uhusiano wenu,hawa wanapenda tu good time,Kitimoto,Beer,kuwalipia kiingilio mkienda Club,kuja kukukopa na kuomba misaada ya hapa na pale,ukiwa hauna Vitu hivyo they dont see a friend in u!!

What u nd to do now,ni kuwapotezea moja kwa moja na wasiijue rangi ya wallet yako,maana hicho ndicho wanachokihitaji,wati wa Tumbo na mambo yake!!
Stay away frm them,spend ur time with people ambao walikuwa upande wako hata wakati ambao ulikuwa "unanuka",Usiruhusu Upweke ukurudishe kwa hao kenge maana huwa Wazuri katika mazungumzo na since hawana "pride" hawaoni hasara kurudi kupitia mlango wa mbele!!!
 
Ha ha ha ha ha,Yaani Nazjaz umezungumza katika Mawazo yangu Mkuu!! Niliwahi kuajiriwa Airtel,nilikuwa na wallet nene,nikawa na wanaoitwa marafiki kedekede,nilitoka Airtel mwaka jana mwezi wa sita ili kujiajiri,mambo hayakuniendea Vizuri nimeyumba sana!!

Sasa hivi ndiyo naanza kujikusanya adoado,"Marafiki" wote walinikimbia,hawataki kusikia kutoka kwangu,waliokaribu yangu ni watu ambao hawakuufaidi Ufalme wangu,how ironic life can be!! "Marafiki" wachache ambao ni wajanja ana-pretend kama anataka kujua unaendeleaje kumbe kimsingi anataka kujua kama Mambo yameanza kukaa sawa,ukitaka kujua kama ni Mnafiki tu mpigie simu the following day HAPOKEI na wala harudishi call yako!!

Hakuna sababu ya kuumia ndugu yangu,cha msingi hapo ni kujifunza somo kwamba kuna "washkaji"(Acquintances) na marafiki(Friends),wengi wetu huwa tuna Washkaji tu,umesoma nae,unasali naye,jirani yako hiyo tu ndiyo sababu ya Uhusiano wenu,hawa wanapenda tu good time,Kitimoto,Beer,kuwalipia kiingilio mkienda Club,kuja kukukopa na kuomba misaada ya hapa na pale,ukiwa hauna Vitu hivyo they dont see a friend in u!!

What u nd to do now,ni kuwapotezea moja kwa moja na wasiijue rangi ya wallet yako,maana hicho ndicho wanachokihitaji,wati wa Tumbo na mambo yake!!
Stay away frm them,spend ur time with people ambao walikuwa upande wako hata wakati ambao ulikuwa "unanuka",Usiruhusu Upweke ukurudishe kwa hao kenge maana huwa Wazuri katika mazungumzo na since hawana "pride" hawaoni hasara kurudi kupitia mlango wa mbele!!!
kawaida
 
Back
Top Bottom