Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,224
- 6,356
mtoto wa kigogo gan?au yule tuliemuona mitandaoni akiwa SA anachagua jeneza la Ngweair?lisemwalo lipo.
Halafu yule skendo kama hizi anazo nyingi sana. Nilikuwa nikisikia hii kitu kwa muda mrefu sana na pia wanasema anashirikiana na mtoto wa kigogo mwingine, yaani wana mtandao wao wa kiaina flani hivi.