Je! Ni kweli mwanaume hapendi kusaidiwa na mwananke?

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,116
Niliwahi kusikia ukimsaidia mwanaume ambaye yupo kwenye mkwamo wa kiuchumi, au anapitia changamoto fulani ukatatua changamoto yake baada ya hapo anakuacha akimaliza changamoto anayopitia.

Kwamba anaona hawezi kuku- control tena kwa kuwa umemsadia hivyo anaamua kukuacha ili akatafute ambaye hajawahi kumsaidia ili awe na nguvu ya maamuzi dhidi yake.

Pia mwanaume ambaye atakuwa na ujasiri wa kukuomba umsaidie mfano moenzi wangu nitumie 10000 au 5000 leo sipo vizuri ukimtumia tu si kwamba anafurahia ila anatafuta namna ya kukuacha, je kuna ukwlei huo kuwa wanaume hawapendi ku9e wa wala kusaidiwa na wanawake wao?
 
Niliwahi kusikia ukimsaidia mwanaume ambaye yupo kwenye mkwamo wa kiuchumi, au anapitia changamoto fulani ukatatua changamoto yake baada ya hapo anakuacha akimaliza changamoto anayopitia.

Kwamba anaona hawezi kuku- control tena kwa kuwa umemsadia ivyo anaamua kukuacha ili akatafute ambaye hajawahi kumsaidia ili awe na nguvu ya maamuzi dhidi yake.

Pia mwanaume ambaye atakuwa na ujasiri wa kukuomba umsaidie mfano moenzi wangu nitumie 10000 au 5000 leo sipo vizuri ukimtumia tu si kwamba anafurahia ila anatafuta namna ya kukuacha, je kuna ukwlei huo kuwa wanaume hawapendi ku9e wa wala kusaidiwa na wanawake wao?
Msaada wa mwanamke hua ni WA masimango
 
Niliwahi kusikia ukimsaidia mwanaume ambaye yupo kwenye mkwamo wa kiuchumi, au anapitia changamoto fulani ukatatua changamoto yake baada ya hapo anakuacha akimaliza changamoto anayopitia.

Kwamba anaona hawezi kuku- control tena kwa kuwa umemsadia ivyo anaamua kukuacha ili akatafute ambaye hajawahi kumsaidia ili awe na nguvu ya maamuzi dhidi yake.

Pia mwanaume ambaye atakuwa na ujasiri wa kukuomba umsaidie mfano moenzi wangu nitumie 10000 au 5000 leo sipo vizuri ukimtumia tu si kwamba anafurahia ila anatafuta namna ya kukuacha, je kuna ukwlei huo kuwa wanaume hawapendi ku9e wa wala kusaidiwa na wanawake wao?
.......kuna sababu nyingi na kubwa za kumuacha mwanamke sio hiyo, na huwa tunawa -appriciate sana Kwa kutoa.....lakini ukweli ni kwamba pesa ya mwanamke ina maneno na visasi vingi, haitoki bure......ukitaka kuprove itokee siku umemuudhi ndo utasikia mtaani kuwa hulipiagi ada watoto.....
 
Hawa wanaume wanaowaacha wake zao baada ya kufanikiwa wengi ni wale waliopitia manyanyaso na mateso Sana toka KWA wake zake kipindi wamekwama. Hivyo ufanya kama malipizi. Hakuna mwanaume anaeweza muacha mke wake waliesota wote kipindi kigumu.

Kipindi kigumu ambapo mme yameyumba mambo mke anabeba majukumu ya kuhudumia familia ikiwemo hadi expenses za mme.
Wanawake wengi uwakimbia waume zao kipindi kigumu na hata asipokimbia hakuna rangi utoona kupitia manyanyaso, wanaume wananyimwa chakula, simangwa, laumiwa, fedhea kila namna, huyu akirudi juu ni lazima atamkimbia mke wake atatafuta mke mwingine.

Wema ni akiba mpende mwenza wako nyakati zote za shida na raha na sio raha pekee.
 
Hakuna Mwanaume anaemkimbia mwanamke aliyemsaidia wakati wa shida zaidi ya kumng'ang'ania na kumthamini huyo mwanamke...

Jambo kubwa la kuelewa ni kuwa Wanaume halisi huwa wanaulinda uanaume wao kwa nguvu zote, shida inaweza kumfanya mwanaume kuvumilia thamani yake kutokuwepo.

hivyo endapo huyo mwanamke alikuwa akitoa msaada na wakati huohuo alikuwa anashindwa kuthamini uanaume wa huyo mwanaume basi hakuna kitu kinachoweza kuzuia huyo mwanaume kumuacha huyo mwanamke hata kama alitoa dunia nzima.

Thamani ya uanaume kwa mwanaume ni kubwa sana kuliko chochote kile mwanamke anachoweza kutoa na pesa haiwezi kuwa mbadala wake.
 
Niliwahi kusikia ukimsaidia mwanaume ambaye yupo kwenye mkwamo wa kiuchumi, au anapitia changamoto fulani ukatatua changamoto yake baada ya hapo anakuacha akimaliza changamoto anayopitia.

Kwamba anaona hawezi kuku- control tena kwa kuwa umemsadia ivyo anaamua kukuacha ili akatafute ambaye hajawahi kumsaidia ili awe na nguvu ya maamuzi dhidi yake.

Pia mwanaume ambaye atakuwa na ujasiri wa kukuomba umsaidie mfano moenzi wangu nitumie 10000 au 5000 leo sipo vizuri ukimtumia tu si kwamba anafurahia ila anatafuta namna ya kukuacha, je kuna ukwlei huo kuwa wanaume hawapendi ku9e wa wala kusaidiwa na wanawake wao?
Very true
 
Shida ni huo msaada wengine wanautoa kwa manung'uniko sana, ukiwaza umemhudumia mangapi alafu umepata changamoto kidogo akusapoti anaanza manung'uniko unaona huna haja ya kuendelea nae. Ila ni ngumu sana kumsahau aliekusaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom