Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Halafu we mbunge uliekatwa kwenye kura za maoni naona nyuzi zako nyingi ni full kujipendekeza kijani ,safari hii naona watakupitisha kwa jinsi unavyohangaika mtandaoni .Back to point yaani nijitolee nyumba yangu kwa ajili ya cuf bure Leo utanilazimisha niendelee kujitolea wakati nimehamia act .