johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,963
- 141,963
Kiukweli kama vyama vya ACT wazalendo na ile Cuf ya Zanzibar vitaamua kuunganisha nguvu ni dhahiri kitakachozaliwa kitakuwa chama chenye nguvu.
Na hii haitakuwa habari nzuri kwa CCM bali pia itakuwa ni habari mbaya kwa Chadema.
Ikumbukwe ifikapo 2020 sehemu pekee itayoweza kutoa wabunge wa upinzani ni Pemba na ndio maana Chadema walikuwa wanamuwinda maalimu Seif kwa udi na uvumba.
Kwa historia za Kigoma na Pemba zenye ufanano fulani wa kutokubali kuonewa ni wazi kabisa Yajayo yanafurahisha.
Maendeleo hayana vyama!
Na hii haitakuwa habari nzuri kwa CCM bali pia itakuwa ni habari mbaya kwa Chadema.
Ikumbukwe ifikapo 2020 sehemu pekee itayoweza kutoa wabunge wa upinzani ni Pemba na ndio maana Chadema walikuwa wanamuwinda maalimu Seif kwa udi na uvumba.
Kwa historia za Kigoma na Pemba zenye ufanano fulani wa kutokubali kuonewa ni wazi kabisa Yajayo yanafurahisha.
Maendeleo hayana vyama!