Je ni kweli kwamba yote yasemayo yanawezekana

rafiki2010

Member
Sep 23, 2010
23
0
Je yote yanawezekana
Bado ni jambo linaloniumiza kichwa nikitafakari kwa kina ,,,, ukweli ni kwamba tanzania iliyo hai haiwezekani bila kuwa na elimu bora ni wazi ya kwamba inagharimu pesa nyingi ili kufanikisha watanzani wanapata elimu mathubuti,,,,,, na niwazi kuwa watanzania walio wengi ni watu wenye kiwango cha chini kiuchumi ndio maana kukawepo na uchangiaji mdogo wa shule za serikali ambayo ni sawa na bure,,,,,, na kuanzishwa kwa bodi za mikopo kwa watu wilio vyuoni ,,,,,,

SERA ZA CHAMA FULANI ZINANADI SERA ZAO KWA KUWAAHIDI WANANCHI ELIMU BURE ..

Embu watanzania tuwe wawazi na kufikiria kwa undani idadi ya wanafunzi wanaohitaji kupatiwa elimu hiyo ukiwianisha na uchumi wa nchi yetu,,,,,, mfano halisi mbali kwa nchi kama botwana iliyo kuwa ikiwapatia wananchi wake elimu bure sasa imekiri kushindwa kuendelea na zoezi hilo iwapo ni nchi yenye mafanikio makubwa kiuchumi kuliko tanzania ,,,, sasa je kwa nchi kama tanzania itawezekana kutoa elimu bure au ndio campain za kutaka kuingia ikulu ,,,, nduga zanguni tuwe makini maamuzi yetu OCTOBER 31st ,, KWANI MAAMUZI SAHIHI HUTOLEWA MUDA SAHIHI NA WATU SAHIHI KWA MANUFAA YA UMA NA TANZANIA KWA UJUMLA ,,, HUSHIMU KURA ewe kijana,,mzee,,baba ,, mama

TANZANIA YENYE MAENDELEO HUJEMGWA NA WATANZANIA WENYEWE​
 
Back
Top Bottom