Je ni kweli kwamba watoto hufanya...

Je ni kweli kwamba watoto hufanya...

Watoto ni sababu lakini sababu kuu ni upendo wa dhati tulionao sisi wanawake juu ya waume zetu, Mwenyezi ametupa

moyo wa kimungu ndani yetu,moyo wa huruma,moyo wa uvumilivu,unaona bado kuna nafasi ya mume wako kubadilika,una

imani kuu kwamba ipo siku mambo yatakaa sawa, ukikumbuka zile nyakati za furaha mlizokuwa nazo unaona ni upepo tu

umepita mume wako atakaa sawa tu, unajikuta unaendelea kuvuta subira ukivumilia yote mabaya ukiamini heri yaja

tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom