Je ni kweli kwamba watoto hufanya...

Je ni kweli kwamba watoto hufanya...

hips.com

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
344
Reaction score
91
Hili swali nalitupia zaidi kwa wanandoa na wale wasio na ndoa lakini wamekubaliana kuishi na kuanzisha familia

Sasa twende ..
mwanzoni mwa mahusiano raha ni nyingi kiasi kwamba unaweza hisi hakuna kifo

Ila maisha yanaposonga changamoto nazo hazikai mbali.

Imefika mahali baadhi ya wanandoa anatamani mwenzake apotee kama ndege ya Malaysia.
Sasa swali je ni kweli inapofikia hatua mikwaruzano imezidi na kulia lia kila siku especially wanawake je watoto ndo wanafanya usiondoke au kunatatizo lingine
Nauliza hivi kwasababu wengi utawasikia kama sio watoto mhhh ningeshaondoka.
Tusaidiane plizzzzz
 
nilivyoona hiyo heading nikajua watoto hufanya nanilihii

inawezekana hiyo ikawa ni sababu nami nimewahi kusikia watu wakitoa hiyo reason
 
Wewe heaven ndo mana ukaja mbio mbio kama gari la mwenge hahaha .ndo wanahabari wengi walivyo ili ununue gazeti
 
nilivyoona hiyo heading nikajua watoto hufanya nanilihii

inawezekana hiyo ikawa ni sababu nami nimewahi kusikia watu wakitoa hiyo reason

mmmh! Hiki kizaz hatar sana ukiskia kufanya tayar umepeleka mawazo katkat ya miguu!!!
 
Inawezekana hasa wakina mama ndio husema sana kauli hiyo. Mm naona nikweli kwasababu wanajua watoto kulelewa na mama wa kambo ni sawa na kummpeleka mwanao gerezan au utumwan.japo sio mama wa kambo wote hufanya hvyo
 
Watoto ni moja... pili ni ukisimama kwenye kioo unajua na mimi si mkamilitu ni Mungu tu aliondoa hiyo video recorder mwenzako angeona labda mapemaaaa mngeshatosana au ingekuwa unyama unyama... wakati tunaingia mjini niliwahi kushuhudia aunt yangu niliyekuwa nakaa kwake kaletwa na gari ya rafiki yake ancle ikapaki nje ancle akiwa kalala jamaa akajipendelea fasta ilikuwa ngumu kumeza ila leo ndani ya ndoa uvumilivu muhimu sana kwani si rahisi kumzoea mgeni wa kuishi nae
 
Watoto ni moja... pili ni ukisimama kwenye kioo unajua na mimi si mkamilitu ni Mungu tu aliondoa hiyo video recorder mwenzako angeona labda mapemaaaa mngeshatosana au ingekuwa unyama unyama... wakati tunaingia mjini niliwahi kushuhudia aunt yangu niliyekuwa nakaa kwake kaletwa na gari ya rafiki yake ancle ikapaki nje ancle akiwa kalala jamaa akajipendelea fasta ilikuwa ngumu kumeza ila leo ndani ya ndoa uvumilivu muhimu sana kwani si rahisi kumzoea mgeni wa kuishi nae

hiyo sasa ni dharau, na tatizo ni huyo rafiki wala siyo wife! hivi shorgun kwani zina kazi gani?
 
watoto ni kikwazo coz wataathirika psychologically coz wameshazoea kumuona baba na mama,sasa itokee mmoja hayupo watahoji xana, na wamama wameumbwa na uvumiliv xana, watavumilia ili watoto waishi kwa raha.
Big up to women.
 
Heaven umekuwa mkaliii wametingisha kiberitii eeeee
 
Watoto wanahitaji mapenzi kutoka kwa wazazi wote wawili, ndio maana kwa wanaoelewa anapofikia hatua kama hiyo anaamua hajirudi na kukubali matokeo
 
Wengi husewa hvyo lakin wanashndwa kutoa sababu plz mwenye sababu anieleweshe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom