Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,126
- 6,764
Kuna akina mama wengine lakini iwa wanashindwa kutambua huyu mtoto baba yake ni yupi. Maana anapiga remix anatembea na kiserengeti boyz kuna muuza nyama kuna muuza genge kuna dereva taxi kuna pedeshee mwenye duka mama huyo huyo mmoja na kuna mmewe sasa mtoto akizaliwa hapo sijui kama mama anaweza tambua.
Wapo wanawake wanao fanya remix ya aina hii.
Sure!
Na hiyo ni kali sana,Manake mtoto akitoka hapo ni kijoti kuliko joti orijino.