King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,593
- 94,356
wataka kwenda mombasa ati Eheeeeee? Nenda sheikh.
wakuu naona no help xaxa
mtoa post mbona kimya
Hahahaha mkuu unataka umbake mtoto wa watu
Swaga za mavee? Ati mimi wa wapi we binti vipi? Namna ndio maana mnashindwa kuandika barua za kuombwa uroda.
wataka kwenda mombasa ati Eheeeeee? Nenda sheikh.
NUH MZIWANDA anakuja kula bata na starehe...unataka uje huku kufanya nini ?
Unapenda wanawake wa mombasaa!?? shilole wako hakutoshi wee nuh mtoto wa mwsho
Halafu Jina unalotumia,kwa sheria mpya iliyosaidiwa juzi na Raisi.umefika kaka?
NUH MZIWANDA anakuja kula bata na starehe...
Halafu Jina unalotumia,kwa sheria mpya iliyosaidiwa juzi na Raisi.
Jela inakuita kama mhusika akikutia mtegoni
staki kuamini nuh anaandika namna hiyo
muacheni aje jamani punguzen wivu
Wewe yuwataka kumchokoa tu mtoto wa watu, hahaa
Kwa mwandiko wako huu ukienda lazima ubakwe wazazi wanahasara poleeWakuu mambo habari zenu,
Wakuu kwa kipindi kirefu nimekuwa nikivutiwa kwenda jiji la Mombasa nchini Kenya. Sasa kiukweli watu wengi sana wanapata mshawasha flani wa kujua kuhusu Mombasa
Jje ni kweli huko watu wanafanya vibaya, manake hapa bongo tunaichukulia kama sehemu fulani katika Eastafrika yetu so amazing sana, Je ni kweli jiji ndilo la pili kwa ukubwa Kenya?,
Je ni kweli kuna starehe za kufa mtu?, halafu wanasemaga eti kule wanaume wanabakwa sana, mi naogopa sana japo natamani kupafika.
Je kuna sehemu za bata huko? na ule msemo ukitaka gari nenda Mombasa wanamaana gani wadau?.
Mmi napenda sana Wanawake wa Mombasa .
Je hapa bongo wanapatikana wapi?
akikuwa ataacha hata kakake alikuwa hivo hivo