Samahani wanajamii mwenye mawasiliano na mh Halima Mdee atujulishe kama ni yeye anapost kwenye wall yake ya fb kuhusu mikopo ya Community loan au ni mtu anatumia jina lake watanzamia wenye vipato vidogo na maisha magumu tusije kuumia tunaomba utuhakikishie
Huo mchepuko wa Nassari....