FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,875
- 44,926
Ni kama tulivyozuia sukari used toka nje, hivyo hivyo tuzuie nguo used toka nje. Hii itafufua viwanda na kutengeneza ajira pamoja na kuwapa wakulima wa pamba soko la ndani la uhakika. Vp bulldozer..?!