Je ni kosa? kama pc yako ni xp ukaweka window 7,8,linux,obuntu...

Je ni kosa? kama pc yako ni xp ukaweka window 7,8,linux,obuntu...

Nikhil

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
361
Reaction score
120
Habari zenu all jf members!
Wakuu imekua mazoea ambayo naona yanazidi kupanda kasi kutokana na uelewa finyu juu ya pc software.

Swali kama lilivyo hapo juu naomba mnijuze manake pc yangu ni xp ila wananishauri niweke 7 .
Je nisahii kweli ? Na kama sivyo naombeni mnielekeze version ya window ambayo ni suited kwa pc yangu?
Wana IT humu jamvini naombeni mnijuze ..
Natanguliza shukrani.
 
Habari zenu all jf members!
Wakuu imekua mazoea ambayo naona yanazidi kupanda kasi kutokana na uelewa finyu juu ya pc software.

Swali kama lilivyo hapo juu naomba mnijuze manake pc yangu ni xp ila wananishauri niweke 7 .
Je nisahii kweli ? Na kama sivyo naombeni mnielekeze version ya window ambayo ni suited kwa pc yangu?
Wana IT humu jamvini naombeni mnijuze ..
Natanguliza shukrani.
  • Je RAM ya pc yako ina ukubwa gani?.
  • Na je Processor ya hiyo pc ina uwezo gani?
  • Na je vipi kuhusu graphic card ni mb ngapi?
Majibu ya haya maswali ndio yatatupa mwanga wa kukushauri utumie OS ipi.

Karibu
 
  • Je RAM ya pc yako ina ukubwa gani?.
  • Na je Processor ya hiyo pc ina uwezo gani?
  • Na je vipi kuhusu graphic card ni mb ngapi?
Majibu ya haya maswali ndio yatatupa mwanga wa kukushauri utumie OS ipi.

Karibu

mtu akija na tatizo hapa nikiona comment yako ya kwanza huwa nageuza najua ashapatiwa ufumbuzi tayari
 
  • Je RAM ya pc yako ina ukubwa gani?.
  • Na je Processor ya hiyo pc ina uwezo gani?
  • Na je vipi kuhusu graphic card ni mb ngapi?
Majibu ya haya maswali ndio yatatupa mwanga wa kukushauri utumie OS ipi.

Karibu

mtu akija na tatizo hapa nikiona comment yako ya kwanza huwa nageuza najua ashapatiwa ufumbuzi tayari
 
mi yangu ina ramGB1 processor na hiyo graphic sijui ndo hii ilyoandkwa 3886GHZ au naweza kuona wapi?
 
mi yangu ina ramGB1 processor na hiyo graphic sijui ndo hii ilyoandkwa 3886GHZ au naweza kuona wapi?

windows 7 na 8 zote zinakaa ila unaweza kukosa drivers za saut na network pamoja na display sometimes..ni vizuri kuonana na mtu mwenye uzoefu kwa msaada zaidi.. Na hizo drivers unaweza kuzipata kwenye mtandao
 
Right click my computer -> Properties window nyingine itafungua, hapo ndo kuna infos. Kwa maelezo yako machache hapo juu computer yako unaweza install Operating system yoyote kati hazo ulizozitaja, kwani minimum specification zake kubwa vile. Processor: 1 gigahertz (GHz) or faster

RAM: 1 gigabyte (GB) (32-bit) or 2 GB (64-bit)

Hard disk space: 16 GB (32-bit) or 20 GB (64-bit)

Graphics card: Microsoft DirectX 9 graphics device with WDDM driver
 
Back
Top Bottom