Nilimaanishaje mkuu kuwa wao wanapenda raha tu ila shida au wakt wa hali ngumu na taabu upendo wa kweli utaupata toka kwa mama ndo upendo wake una guarantee,au hauna expire date kaka.ila wao wanapenda uwe na kazi nzuri,nyumba nzuri,usafiri binafsi na hela za kutosha pia na geto lako msebule uvutie uwe na vitu vingi vizuri kama ujuavyo,ukimkaribisha akapaona hatawahi kuuaga kuwa anasepa utashangaa amelala au mda mwingi anapenda akutembelee.
Ni hayo tu mkuu