Je, ni kawaida?


Nimekupata Dr F.
 
kama wanakukataa fanya shughuli nyingine mapenzi tuachie sisi tusiochagua.pia wanachagua kama ww unavyochagua usione ajabu na kujisikia vibaya


Je ule msema" kila ndege hutua kwenye tawi alipendalo" kwangu hahusiki?
 
Mkuu hata mm hiyo hunitokeaga, hauko peke yako..mademu ninaovutiwa nao huwa hawana shobo na mm, na wale madem ambao ndo hata siwataki kimapenzi ndo wanajipendekeza kwa kunitumia sms almost kila kukicha, hilo swala huwa sometimes linani-fustrate kimtindo sema ndo ivo.. Gmarra
 
Last edited by a moderator:
Mie nadhan kuna njia 3 tu za kusuluhisha hilo tatizo lako

1.tafuta pesa
2.tafuta pesa
3.nasema we tafuta pesa tu.
 
Mkuu wala usilalamike,mara nyingine hizo ni balaa na mikosi inapita mbali nawewe. Cha muhimu mwombe Mwenyezi Mungu akupatie mtu sahihi huku nawewe ukichunguza vizuri na kujenga uchumi wako. Wewe ni mwanaume hata ukioa ukiwa na 40 somethings huko hakuna tatizo.
 

Haya maswali yako mengi nadhani miss chaga na atoto wanaweza kukujibu vizur zaid
 
Last edited by a moderator:

embu kwanza nitafte utafiti nikulinganishe na mtu baadae ntarudi.

Ila kwanza nihakikishie kuwa hili sio tangazo!
 

kho kho kho khooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…