Siyo haki jamani, hivi vitu inabidi tuchukulie kama bahati mbaya maana hata huyo mama au wanae wanaweza vunja, je waweza kujilipisha? Wawaaache kabisa watoto wa watu wapumue maana mikono yao haina sumaku kwamba akishika kitu ndiyo kinatiane mazima kisiponyoke!!!!!