Geofrey tibert
Member
- Oct 13, 2016
- 68
- 62
Mambo ya real estate ni magumu sana kama endapo hutakuwa na uelewa nayo,kumiliki nyumba au kujenga nyumba ili upange ni jambo jema na zuri endapo utafata vigezo stahiki.mfano unaweza ukaamua kufanya hivyo ukawa unapangisha huku unatumia hiyohiyo nyumba yako kama security( kuombea mkopo), mbili uneweza ukaamua kufanya hivyo utakuwa umesave time ya wewe kufanya mambo mengine kwa maana nyumba hiyo itakuwa inakuingizia wewe pesa bila wewe kuifanyia kazi (money work for you= you never work for money) kwa hivyo utakuwa umesave time na kufanya mambo mengine. Tatu kufanya hivyo utakuwa upo kwenye risk ndogo ya kupoteza mtaji wako kiasi kama sio wote.4 kufanya hivyo utakuwa umeingia katika ulimwengu wa financial freedom. Ila angalizo kama nilivyosema mwanzo mambo ya real estate ni magumu sana kama endapo utakuwa huna uelewa nayo, sasa ili kufanikiwa kaatika any types of real estate/investment yeyote inakupasa kupita kwenye steg hizi tatu...
1.Elimu kuhusu real estate(uwekezaji katika nyumba au viwanya)
2.Uzoefu
3.BOOM!!!! Ongezeko la kipato
Kwa wale wanaoogopa biashara ya real estate niwadokeze tu Tajiri na billionaire wa kwanza wa babilon ametokea kwenye hii biashara ya real estate.
1.Elimu kuhusu real estate(uwekezaji katika nyumba au viwanya)
2.Uzoefu
3.BOOM!!!! Ongezeko la kipato
Kwa wale wanaoogopa biashara ya real estate niwadokeze tu Tajiri na billionaire wa kwanza wa babilon ametokea kwenye hii biashara ya real estate.