Wanajukwaa habari za wakati huu?
Moja ya vigezo vya mtu kufundisha chuo kikuu ni GPA above 3.5 kwa undergraduate.
Mimi Nina GPA ya 3.4 kwa undergraduate na GPA ya 4.0 kwa masters. Je nikiendelea na PhD nikamaliza inaweza nisaidia kuwa na sifa ya kuwa lecturer?? Ushauri please..
Moja ya vigezo vya mtu kufundisha chuo kikuu ni GPA above 3.5 kwa undergraduate.
Mimi Nina GPA ya 3.4 kwa undergraduate na GPA ya 4.0 kwa masters. Je nikiendelea na PhD nikamaliza inaweza nisaidia kuwa na sifa ya kuwa lecturer?? Ushauri please..