Je, Nape alikuwa ni mmoja wa waandaaji wa #VoNoCo dhidi ya Rais Magufuli?

Je, Nape alikuwa ni mmoja wa waandaaji wa #VoNoCo dhidi ya Rais Magufuli?

Kama chama kilianza kumshinda muasisi wake mwenyewe Mwalimu Nyerere, kikajigeuza kuwa chama cha mabwanyeye badala ya chama cha wakulima na wafanyakazi (Jembe na Nyundo); mbele ya macho yake mwenyewe, akabaki kulalamika: "CCM sio Mama yangu"! Ni nani huyo wa kukibadilisha chama hiki kilichomshinda profesa wa siasa?! Kukata, kutisha na kuwapoteza baadhi yao ni kukiua chama chenyewe ndani kwa ndani zaidi kuliko kukibadilisha, kwani strong arm tactics haikuwahi kuwa suluhisho vinginevyo kina Mobutu, Bokassa, Gadhafi, Saddam, Hitler, Mussolin na wengineo wengi kama hao wangekuwa bado wanapeta katika Dunia hii!
Bora kife kuliko kundi lile la mafisadi liendelee kushikilia hatima ya nchi yetu.

Mbona NAZI ya Hitler imekufa na Germany inafanya vizuri sana?
 
Mkuu umepotea sana

nipo mkuu....vijana wengi mno siku hizi maada sio zile nzito za kukufanya uingie kusoma documents kwanza ndio ujibu


tutafika

naona mzee JPM ananyoosha rula hapindishi...ukikaa nje a mstari wako imekula kwako

he is doing so well!...a NO NON SENSE man
 
Sasa huyu Jiwe si alisema alisukumizwa ,kila siku kulalamika kazi ya urais ngumu sana sasa watu wanataka wakusaidie uishie term moja unaanza kuuandaa vi clip uchwara vya uhaini .
 
ATCL kwa miaka 5 ni hasara tupu mfulilizo.
 
Ama kweli ule msemo wa ''ningejua urais uko hivi nisingechukua fomu'' una maana kubwa nyuma yake.

Urais una mengi sana...urais ni kama vile hali ya vita ambayo maadui wanatokea ndani na nje ya jeshi lako.

How come waliojiita wapigania chama wanakaa chini na kupanga mipango dhidi yako kwa maslahi ya kundi lao na sio chama au nchi basi...ukiwaza hivyo ni lazima uwe mbogo tu...Good thing state and party machineries ziko chini yako na zinafanya kazi 24/7 kwa ajili yako.

Yote kwa yote namhurumia Magu lakini pia namkubali sana kwa kuicheza hii game ya "Tz political chess" kwa ustadi wa hali ya juu sana na kwa hisani ya wapiga kura na wazalendo wa kweli utashinda kiulainii ukiwaacha watu wakilia vijijini mwao.

Nikumbushe tu hata JK nyerere alikutana na hilo kundi sumbufu toka enzi zile...alilikemea lakini wapi...nadhani muda muafaka wa kuli-wipe out umefika...at any cost...!!

Najua JPM anawaona anawaona....anawaona wanapokutana na anawaona wanachokipanga and always amekuwa smarter and lightyears ahead of them....

SENT AS RECEIVED!!

"BE AS WISE AS THE SERPENT YOU ENCOUNTER"
Sasa vonoco ndio nini
 
Kwa nini hakuwapiga risasi Kama Lissu...ujjngaujinga
 
Back
Top Bottom