Je, mwanaume handsome anasifa zipi?

Naona wengi mmeweka pesa na vitu mbele ya uzuri wa mtu. Lakini kuna wanaume ni ma handsome kwa mwonekano wao. Ila hata kama una mwonekano mzuri, kama hauna sense ya usafi na unadhifu ni kazi bure!
 
Uwe na Amani.. Inayokufanya uwe unatabasamu tu hujui kukasirika.. Uwe na Hofu ya Mungu.. Inayotokana na Mibaraka mikubwa Anayokushushia... Biashara inakwenda, Nadhifu...Mzee Wa Kanisa..huku Mtaani unaheshimika na mawazo mema...

Hii yote hutokea pale Account haiko malnourished... Lately sifa hizi zimekuwa kama "Kakakuona" hazionekani kwa urahisi.
 
Jombaa hivyo ambavyo hauna ndiyo vigezo vya kuwa handsome pambana uvipate kisha vjumuishe na ulivyo navyo kisha sasa jilinganishe na pale mwanzo
 
Wangoja wanakuja wanaozubaishwa na ma handsome koko wasio na hela
 
Siwezi thibisha how gentle and strong i am, naona wengi mnaona kma si mwanaume rijali,

Its tru sina hela , nikisema sinahela ieleweke nnashida kweli na ningekua cheap kama mnavyodhan kutokana na wake za watu na watu wazima na hela zao wanavyosumbua hata mtaji wa 5m au kupata kaz kwa msingi kiuno ningeshapata, but am GOD fearing najua nikipitia njia hizo hata nikitajirika sitakua na mali ya halali, au mwanamke anicontrol kwa mali zake. Natafuta njia halali ya kupata pesa,

Swali langu la msingi lipo ktk heading.
Coz weninge wananisumbua hadi kunitia majaribuni na matatizoni hasa kwa waume zao.
Kwene kucha sio rangi, ni HINNA YA ASILI, as i said nilisikia ni sunna since nakua ila nilipopata elimu ya dini nikajua ni uongo nimeacha
 
Mwanaume handsome ni mwenye bank account ambayo ni obese.
hume nena
hakuna mwanaume mbaya wala mwanamke mbaya,ukiwa na vitu vitatu uwezo wa kujikimu,muonekano ndani ya jamii kimatendo,kujitunza.hapo kila mtu hata kupenda
 
Ukiwa na pesa wewe ni handsome,pia hakuna mwanaume mbaya mbele ya mpezi wake au mkewe,ninachoamini ukishaamua huyo ndio mume/mpenzi wangu automatically utakuwa handsome to her..
 
Kama hivyo ndo vidole vyako alafu umepaka na rangi kuna walakini aisee
 
Kama wewe ni Mwanaume... sorry; kama ni MWANAUME, basi vingine unavyosifiwa inatakiwa iwe siri yako!

Unawekaje hadharani kwamba unasifiwa una LIPS mzuri?! Mbona unanipa mashaka we jamaa?!
 
Nina pesa ila sijulikani warembo karibuni kwenye uwekezaji huria, sharti ni moja, sirudiagi hata uwe na ladha kiasi gani
 
Kidume halisi ni yule mwenye sura ngumu, mwili mkakamavu, sauti nenee.
Ila dunia ya leo mwanaume mrendemko, sura kama dada zake ndio anaonekana wa ukweli. Tatizo wa Dsm + chips kuku.
 
Kama kucha zenyewe ndio hizo tena umezipaka na rangi nina wasiwasi na we we aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…