Je, Mungu yupo bado na CHADEMA?

Je, Mungu yupo bado na CHADEMA?

manga mseke

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2015
Posts
470
Reaction score
90
Mzee Lowassa alisema ataambatana na wenyeviti vya mikoa 22 wakuu wa wilaya 80 makatibu wa wilaya 96 wabunge 50 sasa najiuliza hawa wote wangelifatana na Lowasa kweli ndani ya CHADEMA kungekalika?

Na Lowassa kama ikatokea kachukua nchi, Je hawa wote si atalazimika kuapachika serkalini ili kuapoza?
Na je wale ambao walioipigania CHADEMA toka mwanzo watakubali kuja kwa watu hao alafu wawakoseshe ulaji kwa chama walicokipigania kwa miaka mingi?
Je huko majimboni si moto utawaka kila siku kwa kugombea uongozi kama CCM?

Na je serkali ambayo ataunda bwana Lowassa itakuanatofauti na CCM?
Kwa sababu sura nyingi zitakua ni zilezile tu

Mungu tuepushe na balaa hili la shetani huyu Lowassa asije kuapa nchi marafiki zake wenye tamaa ya kufilisi nchi kama walivyo fanya wakia ndani ya CCM amen
 
Wandugu hakuna kipindi nilichoumia kama kipindi hiki ambacho kimefanya hawa makamanda wetu kututosa. Nakubali wafuasi na wanachama wengi kupitia migongo yao wameshatimua zao wengine aidha kwa kufuata ushawishi wao au wengine kuchukua maamuzi binafsi baada ya kuona mgombea wetu ni BOMU LINALOSUBILI KUPASUKA. Mpaka sasa ni kama tupo ndotoni hatuelewi hivi Mbowe tamaa hii ya pesa ndio kweli imekufanya uuze chama.??? Miaka yote ya mapambano imepitea bure badala ya kwenda mbele tumerudi nyuuuuma kuanza na zero. Hivi kweli Mbowe.

Hivi kwa hali yoyote uchaguzi huu hatuwezi kushinda kamwe. Lakini sasa embu tujipange baada ya uchaguzi Mbowe utatuambia nini kwa sababu wewe ndio mastermind wa hili dili lote. Mkae tayari. Nadhani hata ikiwezekana baada tu ya uchaguzi itabidi mkae mbali na ofisi msiingie tutaweka makufuli yetu na tutamtaka kila mmoja ajieleze alishiriki vipi kuwaleta mafisadi kabla ya kuruhusiwa kuingia ofisini.

Msidhani siasa ni mchezo wa kitoto. Tutawaomba viongozi wa vyama vingine watimue zao na ilani zao hatuzitaki. Duni utarudi kwenu hatukuhitaji na hapo ndio sasa itazaliwa CHADEMA ASILIA. Mbatia utafute pa kwenda naona sasa kwako kunaendelea kupasuka unajifanya unatetea ukawa. Uongo mtupu. Uchumiaji tumbo tuu kama hujatumwa.
 
Wandugu hakuna kipindi nilichoumia kama kipindi hiki ambacho kimefanya hawa makamanda wetu kututosa. Nakubali wafuasi na wanachama wengi kupitia migongo yao wameshatimua zao wengine aidha kwa kufuata ushawishi wao au wengine kuchukua maamuzi binafsi baada ya kuona mgombea wetu ni BOMU LINALOSUBILI KUPASUKA. Mpaka sasa ni kama tupo ndotoni hatuelewi hivi Mbowe tamaa hii ya pesa ndio kweli imekufanya uuze chama.??? Miaka yote ya mapambano imepitea bure badala ya kwenda mbele tumerudi nyuuuuma kuanza na zero. Hivi kweli Mbowe. Hivi kwa hali yoyote uchaguzi huu hatuwezi kushinda kamwe. Lakini sasa embu tujipange baada ya uchaguzi Mbowe utatuambia nini kwa sababu wewe ndio mastermind wa hili dili lote. Mkae tayari. Nadhani hata ikiwezekana baada tu ya uchaguzi itabidi mkae mbali na ofisi msiingie tutaweka makufuli yetu na tutamtaka kila mmoja ajieleze alishiriki vipi kuwaleta mafisadi kabla ya kuruhusiwa kuingia ofisini. Msidhani siasa ni mchezo wa kitoto. Tutawaomba viongozi wa vyama vingine watimue zao na ilani zao hatuzitaki. Duni utarudi kwenu hatukuhitaji na hapo ndio sasa itazaliwa CHADEMA ASILIA. Mbatia utafute pa kwenda naona sasa kwako kunaendelea kupasuka unajifanya unatetea ukawa. Uongo mtupu. Uchumiaji tumbo tuu kama hujatumwa.

Gamba mkubwa wewe. Peleka upunguani wako kule lumumba, kenge wewe
 
Aliyaahidi wapi haya?? Gamba mkurupukaji at work
 
Mzee Lowassa alisema ataambatana na wenyeviti vya mikoa 22 wakuu wa wilaya 80 makatibu wa wilaya 96 wabunge 50 sasa najiuliza hawa wote wangelifatana na Lowasa kweli ndani ya CHADEMA kungekalika?

Na Lowassa kama ikatokea kachukua nchi, Je hawa wote si atalazimika kuapachika serkalini ili kuapoza?
Na je wale ambao walioipigania CHADEMA toka mwanzo watakubali kuja kwa watu hao alafu wawakoseshe ulaji kwa chama walicokipigania kwa miaka mingi?
Je huko majimboni si moto utawaka kila siku kwa kugombea uongozi kama CCM?

Na je serkali ambayo ataunda bwana Lowassa itakuanatofauti na CCM?
Kwa sababu sura nyingi zitakua ni zilezile tu

Mungu tuepushe na balaa hili la shetani huyu Lowassa asije kuapa nchi marafiki zake wenye tamaa ya kufilisi nchi kama walivyo fanya wakia ndani ya CCM amen
Ndio hujayaona ya CHATO?
 
Watanzania inatubidi tunyowe IQ zetu nchi hii kumpa jizi kama lowasa kwa kweli tutakau tumezama kwenye shimo kubwa ambalo hatuezi kutoka kwa miaka 5
 
Mzee Lowassa alisema ataambatana na wenyeviti vya mikoa 22 wakuu wa wilaya 80 makatibu wa wilaya 96 wabunge 50 sasa najiuliza hawa wote wangelifatana na Lowasa kweli ndani ya CHADEMA kungekalika?

Na Lowassa kama ikatokea kachukua nchi, Je hawa wote si atalazimika kuapachika serkalini ili kuapoza?
Na je wale ambao walioipigania CHADEMA toka mwanzo watakubali kuja kwa watu hao alafu wawakoseshe ulaji kwa chama walicokipigania kwa miaka mingi?
Je huko majimboni si moto utawaka kila siku kwa kugombea uongozi kama CCM?

Na je serkali ambayo ataunda bwana Lowassa itakuanatofauti na CCM?
Kwa sababu sura nyingi zitakua ni zilezile tu

Mungu tuepushe na balaa hili la shetani huyu Lowassa asije kuapa nchi marafiki zake wenye tamaa ya kufilisi nchi kama walivyo fanya wakia ndani ya CCM amen

Ubongo wako upo hatarini kuoza maana hauutumii
 
Acha uongo lowassa alikuja kukuambia wewe hayo uliyoandika ama. Jiandae kwasababu lowassa ndiye raisi wako. Mungu hasikilizi sala za waongo
 
Mungu yuko Upande wa UKAWA .. huoni CCM wanavyooumbuka ? ... Kweli wewe Gamba Mkomavu ... Subiria maumivu ya wiki ya Mwisho uone kiama cha CCM ... Wananchi wabunge na hata makada wenye chembe ya Uzalendo ndani ya CCM wamejua kuwa Tatizo ni CCM ... Mtabaki na Mkapa na Mangula wake tu ...
 
Wandugu hakuna kipindi nilichoumia kama kipindi hiki ambacho kimefanya hawa makamanda wetu kututosa. Nakubali wafuasi na wanachama wengi kupitia migongo yao wameshatimua zao wengine aidha kwa kufuata ushawishi wao au wengine kuchukua maamuzi binafsi baada ya kuona mgombea wetu ni BOMU LINALOSUBILI KUPASUKA. Mpaka sasa ni kama tupo ndotoni hatuelewi hivi Mbowe tamaa hii ya pesa ndio kweli imekufanya uuze chama.??? Miaka yote ya mapambano imepitea bure badala ya kwenda mbele tumerudi nyuuuuma kuanza na zero. Hivi kweli Mbowe. Hivi kwa hali yoyote uchaguzi huu hatuwezi kushinda kamwe. Lakini sasa embu tujipange baada ya uchaguzi Mbowe utatuambia nini kwa sababu wewe ndio mastermind wa hili dili lote. Mkae tayari. Nadhani hata ikiwezekana baada tu ya uchaguzi itabidi mkae mbali na ofisi msiingie tutaweka makufuli yetu na tutamtaka kila mmoja ajieleze alishiriki vipi kuwaleta mafisadi kabla ya kuruhusiwa kuingia ofisini. Msidhani siasa ni mchezo wa kitoto. Tutawaomba viongozi wa vyama vingine watimue zao na ilani zao hatuzitaki. Duni utarudi kwenu hatukuhitaji na hapo ndio sasa itazaliwa CHADEMA ASILIA. Mbatia utafute pa kwenda naona sasa kwako kunaendelea kupasuka unajifanya unatetea ukawa. Uongo mtupu. Uchumiaji tumbo tuu kama hujatumwa.

Nimeipenda hiyo, eti Lowasa ni Bomu Linalosubiria Kupasuka.
 
Watanzania inatubidi tunyowe IQ zetu nchi hii kumpa jizi kama lowasa kwa kweli tutakau tumezama kwenye shimo kubwa ambalo hatuezi kutoka kwa miaka 5

Kama tulivyofanya kosa mwaka 2010 tukawapa nchi majizi hadi leo tunajijutia
 
Kama shetani hivi Gamba hili lilivyo jiinua hapa..peleka utoko huo Lumumba njaa zitawaua pussy ww fuata akili na moyo sio mnawekwa hapo Masaki kufanya ujinga mnatumika kama Condom
 
Watanzania inatubidi tunyowe IQ zetu nchi hii kumpa jizi kama lowasa kwa kweli tutakau tumezama kwenye shimo kubwa ambalo hatuezi kutoka kwa miaka 5

Mkuu isikuhadae rangi (mafuriko), tamu ya chai sukari(kura).
 
Wandugu hakuna kipindi nilichoumia kama kipindi hiki ambacho kimefanya hawa makamanda wetu kututosa. Nakubali wafuasi na wanachama wengi kupitia migongo yao wameshatimua zao wengine aidha kwa kufuata ushawishi wao au wengine kuchukua maamuzi binafsi baada ya kuona mgombea wetu ni BOMU LINALOSUBILI KUPASUKA. Mpaka sasa ni kama tupo ndotoni hatuelewi hivi Mbowe tamaa hii ya pesa ndio kweli imekufanya uuze chama.??? Miaka yote ya mapambano imepitea bure badala ya kwenda mbele tumerudi nyuuuuma kuanza na zero. Hivi kweli Mbowe. Hivi kwa hali yoyote uchaguzi huu hatuwezi kushinda kamwe. Lakini sasa embu tujipange baada ya uchaguzi Mbowe utatuambia nini kwa sababu wewe ndio mastermind wa hili dili lote. Mkae tayari. Nadhani hata ikiwezekana baada tu ya uchaguzi itabidi mkae mbali na ofisi msiingie tutaweka makufuli yetu na tutamtaka kila mmoja ajieleze alishiriki vipi kuwaleta mafisadi kabla ya kuruhusiwa kuingia ofisini. Msidhani siasa ni mchezo wa kitoto. Tutawaomba viongozi wa vyama vingine watimue zao na ilani zao hatuzitaki. Duni utarudi kwenu hatukuhitaji na hapo ndio sasa itazaliwa CHADEMA ASILIA. Mbatia utafute pa kwenda naona sasa kwako kunaendelea kupasuka unajifanya unatetea ukawa. Uongo mtupu. Uchumiaji tumbo tuu kama hujatumwa.

Yaani wewe ni afadhali ngiri anayefukuzwa na simba hutumia akili kukimbia kuliko wewe na utumbo wako huu ulio ujaza hapa jukwaani
 
Back
Top Bottom