Je, Mungu ametusahau Watanzania?

Je, Mungu ametusahau Watanzania?

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,266
Reaction score
14,274
Je, Mungu ametusahau watanzania? Jibu ni hapana.

Baada ya kila neno kusemwa na kila lililosemwa kutimia basi ndio utukufu wa Mungu utakapo shuka Kwa Watanzania. Watanzania ni watu wakarimu Sana na niwatu wasio weza kujipambania pale wanaitaji Lao la msingi. Niwatu wasio penda fujo na ghasia na niwatu watii hata ukiwatukana. Mungu anataka kuliponya Taifa na ili atuponye yapo mambo hayanabudi yatokee ili ajidhihirishe.

Kama kuna Jambo nawahusia wenye mamlaka kulitekeleza Kwa mioyo Yao yote basi nikuwaheshimu na kuwapenda watu wao.

Mungu anashuka anashuka kujilipizia kisasi Kwa niaba ya wale wasio weza kujilipizia kisasi. Anasema basi mkae mkitambuwa kisasi ni Juu Yangu Asema Bwana wa Majeshi.

Amen
 
JIWE NDIO ANATAKA KUTUHARIBIA TUNU ZETU.

1.Ameharibu sana utengamano wa kitaifa.

2.amevunja vunja umoja wa kitaifa.

3.Amepoteza mshikamano wa kitaifa.

Anasigina katiba anavyotaka.
Ni hovyo sana

HAKIKA JIWE SI mtanzania.
HAKUNA MTANZANIA MWENYE ROHO MBAYA KAMA JIWE.
 
Wajuzi wa kunukuu vitabu vitakatifu hamjambo? Usikute hata mlango wa Kanisa huujui mjinga wewe!

Umekuwa nabii leo, unatabiri mwisho mbaya wa Tz siyo!!

Kama unachosema eti upo ukombozi unaokuja nchini kupitia hayo yanayoendelea huko Kwa wapingaji nikupe pole

Mungu Hana shirika na waongo! Hana shirika na wanafiki, Hana shirika na walafi wa madaraka

Mwisho wa yote, Baada ya ujio wa Bwana Yesu Dunia, iko hukumu moja tu itakayowaleta watu wote Mbele yake, wema na wasio wema, tayari Kwa hukumu, Nayo ndiyo siku ya mwisho, siku hiyo huitwa, siku ya hukumu

Sasa wewe unachokisema, sijui unakipata wapi, nikushauri, Andikeni tu mambo yenu ya Kisiasa, Mungu mwacheni maana yeye Hana mshauri kama unavyojaribu kumshauri wewe
 
Hakuna mwana CCM mwenye akili timamu atayefurahia yanayoendelea Tanzania kwasasa, ni hawa vibuyu wachache wa humu jf pekee ndio wanaopiga kelele tu, hawajitambui.
 
Hakuna mwana CCM mwenye akili timamu atayefurahia yanayoendelea Tanzania kwasasa, ni hawa vibuyu wachache wa humu jf pekee ndio wanaopiga kelele tu, hawajitambui.
Shika Sana hili mkuu

Wenye Chakula hawana appetite (hamu ya kula) na wenye appetite hawana chakula. Wenye majumba ya kifahari wanakosa usingizi, na wenye usingizi wa kutosha hawana hata pakulala. Wagonjwa mahututi wanaomba uzima, wazima wa afya wanajiua. Wagumba wanalilia watoto, wasio wagumba wanatoa mimba na kutupa watoto chooni. Wenye mialiko mingi hawana nafasi ya kwenda na wenye nafasi hawana mialiko.

Wasio na kope wamejikubali kama walivyo, wenye kope wanavaa za bandia. Anayepewa upendo hauthamini asiyependwa analilia upendo.

Wenye amani wanaomba vita na kutishia machafuko, wenye vita wanalilia amani.

Mwenye nafasi ya kusoma na ada analipiwa hataki shule wala haitilii maanani, mwenye kiu ya kusoma hana ada.

Ni kama binadamu hajui anachokitaka hivyo hata akipata alichodhani anataka bado haridhiki kwani sicho hicho anachotafuta.

CHA KUSHANGAZA
1. Hicho unachokidharau Leo ndicho kilikuwa kinakuliza jana na kukunyima usingizi.

2. Hayo unayotafuta Leo pia kesho hayatakuwa na mashiko kwako.

MAISHA NI FUMBO LILILOSHEHENI VIFUMBO KAMA MFALME SULEIMAN ALIVYOSEMA " TUNAFUKUZA UPEPO" ambao hatutakaa tuukamate!!

SHUKURU KWA UHAI. VINGINE VYOTE VINATHAMANI USIPOKUWA NAVYO, UKIVIPATA THAMANI YAKE INAISHIA HAPO. HIVYO USIRUHUSU VIKAKUTAWALA

Jiulize!
Unadhani ni kitu gani ukikipata ndicho kitakupa utulivu wa moyo!!???

Ukilipata jibu, tufundishe nasi hapa Wana JF wanzako
 
Kwa yanayoendelea...Mie sikujuaga chuo cha sanaa sio Bagamoyo ni hapo 'Ufipa' .
 
MUNGU aanaanzaje kutusahau watanzania?

Katutoa kimasomaso kwenye corona.
 
Siku hizi naona zile MADA za mabishano ya Dini zimepungua sana au kwa lugha nyingine naweza sema hazipo tena.

Inapendeza
 
Wajuzi wa kunukuu vitabu vitakatifu hamjambo? Usikute hata mlango wa Kanisa huujui mjinga wewe!

Umekuwa nabii leo, unatabiri mwisho mbaya wa Tanzania siyo!
Hahahha naona wana Lumumba mnanyukana

Huyo mbona ni mwana CCM mtiifu aliyeaapa kumteka saanane na baadae akafanikiwa kumpoteza.

Ni lini amekua mpingaji? Au kisa leo katofautiana mawazo na wwe baada ya kuona maiti za pemba?
 
Siku jiwe likizima ndio ntajua Mungu hajatuacha otherwise ametuacha
 
Tz. ya leo sidhani kama Mungu wetu anafurahia yanayoendelea! Tumemkumbatia sana yule mwovu tena kwa kulazimishwa!
 
Back
Top Bottom