HASSAN MOLLEL
Member
- Mar 25, 2014
- 9
- 3
Ndugu zangu wangu jf napenda kushare nanyi hiyo mada hapo juu.
Watu wengi wanasema mtu mpaka aitwe msomi ni mpaka apate kazi ya kisomi chake wengine na wanasema mpaka apate shahada ya kwanza ndo uuitwe msomi!
Ikawa haya majibu yananichanganya ipi sahihi kwa sababu watu ambao hawajasoma wanapenda sana kuwadharau watu waliosoma kutokana haliyao ya kimaisha.
Ahsanteni sana!
Watu wengi wanasema mtu mpaka aitwe msomi ni mpaka apate kazi ya kisomi chake wengine na wanasema mpaka apate shahada ya kwanza ndo uuitwe msomi!
Ikawa haya majibu yananichanganya ipi sahihi kwa sababu watu ambao hawajasoma wanapenda sana kuwadharau watu waliosoma kutokana haliyao ya kimaisha.
Ahsanteni sana!