Mtagwa lindi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 311
- 96
Naomba kujua huu mmea ni dawa kweli na unatumikaje kuja wengine wanadai inatibu hadi Corona 1.
Huu ni mmea ambao mara nyingi watu kutumia kujifukiza/kupiga nyungu.Naomba kujua huu mmea ni dawa kweli na unatumikaje kuja wengine wanadai inatibu hadi Corona 1View attachment 1699831
Mkuu Hauja utaja jina lake huo mmea umeonyesha picha tu tutajuaje kwa jina huo mmea?Naomba kujua huu mmea ni dawa kweli na unatumikaje kuja wengine wanadai inatibu hadi Corona 1View attachment 1699831
sifahamu jina lake mkuuMkuu Hauja utaja jina lake huo mmea umeonyesha picha tu tutajuaje kwa jina huo mmea?
mnautumiajeKichaga tunauita mwombo
Usideme Kichaga,sema kwa lugha gani ya kichagga? Kama mrombo anaita hivyo basi mmachame anaita ikingili,mkibosho anaita kwa jina tofauti,kichaga cha kwetu unaitwa shingili.Kichaga tunauita mwombo